Mimi ni mfanyabiashara. Natafuta machimbo ya nafaka Kanda ya ziwa na viunga vyake.
Nataka nipate nafaka kutoka kwa wakulima moja kwa moja au wafanyabiashara ambao Bei zao ziko chini sana
Karanga nenda mikoa ya Tabora na Katavi nilikuwa huko wiki iliyopita kabla sijarudi jijini gunia kilo 42 zenye maganda ilikuwa ni tsh 45,000/= hadi tsh 50,000/= na mahindi 110kg ni 50,000 hizo bei ni za wilaya ya Mpimbwe Katavi.
Karanga nenda mikoa ya Tabora na Katavi nilikuwa huko wiki iliyopita kabla sijarudi jijini gunia kilo 42 zenye maganda ilikuwa ni tsh 45,000/= hadi tsh 50,000/= na mahindi 110kg ni 50,000 hizo bei ni za wilaya ya Mpimbwe Katavi.
Karanga nenda mikoa ya Tabora na Katavi nilikuwa huko wiki iliyopita kabla sijarudi jijini gunia kilo 42 zenye maganda ilikuwa ni tsh 45,000/= hadi tsh 50,000/= na mahindi 110kg ni 50,000 hizo bei ni za wilaya ya Mpimbwe Katavi.
Karanga nenda mikoa ya Tabora na Katavi nilikuwa huko wiki iliyopita kabla sijarudi jijini gunia kilo 42 zenye maganda ilikuwa ni tsh 45,000/= hadi tsh 50,000/= na mahindi 110kg ni 50,000 hizo bei ni za wilaya ya Mpimbwe Katavi.
Mimi nilitaka kujua utaratibu kwa anaenunua na kuweka stoo kisha kuuza baadae kwa mikoa ya katavi au rukwa au songwe/momba utaratibu upoje, mwenye uzoefu atupe madini/uzoefu