Mrs Bishanga
JF-Expert Member
- Jun 30, 2013
- 1,002
- 2,272
Habari zenu wakuu,
Kuna vifaa vyangu vichache ninahitaji kuvisafirisha kutoka Dar kwenda Arusha. Vitu vipo hapa Ubungo Kibo kituo cha madalali. Ninaomba mwenye taarifa ya lori lenye nafasi kutoka Dar kwenda Arusha leo anisaidie namba au aje inbox.
Bei iwe ya kikulima. Asanteni.
Kuna vifaa vyangu vichache ninahitaji kuvisafirisha kutoka Dar kwenda Arusha. Vitu vipo hapa Ubungo Kibo kituo cha madalali. Ninaomba mwenye taarifa ya lori lenye nafasi kutoka Dar kwenda Arusha leo anisaidie namba au aje inbox.
Bei iwe ya kikulima. Asanteni.