AganoJipya
Member
- Jan 24, 2019
- 29
- 37
habar zenu wakuuu! binafsi niko powa,,nielekee kwanza kwenye mada mimi ni mjasiriamali nahtaj kufungua kibanda cha mpesa na tigo pesa ila kwa bahat mbaya sina kitambulisho chochote cha utaifa ambacho kingenisaidia kujisajili binafsi kama wakala pia process za kufatilia kitambulisho ni ndefu ikiwa tayal nipo pekee angu kibandan ninapouza vitu vidogo dogo kiufupi mda unanibana sana hivo nimeamua kutafuta line za uwakala mitandao tigopesa na mpesa kutoka kwa mtu pili naomba ushauli kwamba ni faida na hasara gani nitazipata ikiwa nimenunua line ya uwakala kwa mtu ?
#naomba kwa yeyote anayeuza line aje pm
#naombeni ushauli wenu juu ya suala hili nisije nikawa na haraka ingali kuna negative effect nying
Mahali nilipo ni ubungo Dar
Karibuni tafadhal kwa michango yenu
#naomba kwa yeyote anayeuza line aje pm
#naombeni ushauli wenu juu ya suala hili nisije nikawa na haraka ingali kuna negative effect nying
Mahali nilipo ni ubungo Dar
Karibuni tafadhal kwa michango yenu