Habari wakuu wa mtandao pendwa JF hapa nchini
Binafsi natamani kufungua biashara ya kufanya miamala ya pesa kupitia simu
Nahitaji wataalamu mnipe utaratibu wa kuanza biashara hii, mtaji upo ninachokihitaji ni kufahamu hatua zipi nitapitia ili niweze kupata line za uwakala
Line za uwakala Tigo, mpesa, halopesa na airtel money ninazipata kwa gharama ya kiasi gani?
Pia naomba kujuzwa namna ya kuwa wakala wa benki mbalimbali kama vile CRDB na NMB
Asanteni
Binafsi natamani kufungua biashara ya kufanya miamala ya pesa kupitia simu
Nahitaji wataalamu mnipe utaratibu wa kuanza biashara hii, mtaji upo ninachokihitaji ni kufahamu hatua zipi nitapitia ili niweze kupata line za uwakala
Line za uwakala Tigo, mpesa, halopesa na airtel money ninazipata kwa gharama ya kiasi gani?
Pia naomba kujuzwa namna ya kuwa wakala wa benki mbalimbali kama vile CRDB na NMB
Asanteni