Babu Kijana
JF-Expert Member
- Jan 24, 2013
- 589
- 278
Anaesafiri kwa gari private kesho jmosi trh 7/11 natafuta lift ya kwenda mwanza kutoka dar. Au pia usafiri gani wa basi gani ambalo ni comfortable naweza kutumia?
Anaesafiri kwa gari private kesho jmosi trh 7/11 natafuta lift ya kwenda mwanza kutoka dar. Au pia usafiri gani wa basi gani ambalo ni comfortable naweza kutumia?
na hilo basi unataka lifti au?
Nitalipa nauli mwenyewe basi comfortablena hilo basi unataka lifti au?
Twende nikakuache Chalinze mi naenda msoga
Umeniacha na maswali lukuki....
Anautafuta u comfortable
Duh! Nimecheka sana kwa majibu ya wachangia mada😅😅😅
Mtoa mada kwani wewe Dar ulikuja na mbio za Mwenge?