miss chagga
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 57,805
- 49,109
kheeee duh haya kuwa makini lakiniNitalipa nauli mwenyewe basi comfortable
kheeee duh haya kuwa makini lakiniNitalipa nauli mwenyewe basi comfortable
Anaesafiri kwa gari private kesho jmosi trh 7/11 natafuta lift ya kwenda mwanza kutoka dar. Au pia usafiri gani wa basi gani ambalo ni comfortable naweza kutumia?
Gari nyingi za IT route yake ni Mbeya Tunduma, kwa Mwanza sidhani ila mjifunze kuplan safari zenu mapema lile daladala lenu linaloruka angani Dar Mwanza nauli yake sawa na bus tu ukiplan safari yako mapema.Anaesafiri kwa gari private kesho jmosi trh 7/11 natafuta lift ya kwenda mwanza kutoka dar. Au pia usafiri gani wa basi gani ambalo ni comfortable naweza kutumia?
Anaesafiri kwa gari private kesho jmosi trh 7/11 natafuta lift ya kwenda mwanza kutoka dar. Au pia usafiri gani wa basi gani ambalo ni comfortable naweza kutumia?
Anaesafiri kwa gari private kesho jmosi trh 7/11 natafuta lift ya kwenda mwanza kutoka dar. Au pia usafiri gani wa basi gani ambalo ni comfortable naweza kutumia?