Mentor
JF-Expert Member
- Oct 14, 2008
- 20,328
- 23,879
Kaka kiiza, anza na bei ndo tukupe specifications.
Nasema hivyo kwa sababu..kwa sasa niko Nairobi..kuna bnge la promotion from safaricom laptop hizo unazoambiwa lakinane unaweza kupata kwa kali tatu tu! am very serious mkuu..
kwa mfano:
acer eMachine 350 notebook ni 17,000kshs
acer aspire 5336z with bluetooth 35,000
hp compaq mini 110c 1120Ei 25,000
toshiba l500 204 46,000
hp compaq presario cq62 38,000
dell inspiron 1545 45,000
samsung n150 netbook 25,000
hizo ndo zipo sasa hivi...fasta kama uko serious! identify one na nitakuletea..
narudi bongo next week monday/tusday!
pamoja...
Nasema hivyo kwa sababu..kwa sasa niko Nairobi..kuna bnge la promotion from safaricom laptop hizo unazoambiwa lakinane unaweza kupata kwa kali tatu tu! am very serious mkuu..
kwa mfano:
acer eMachine 350 notebook ni 17,000kshs
acer aspire 5336z with bluetooth 35,000
hp compaq mini 110c 1120Ei 25,000
toshiba l500 204 46,000
hp compaq presario cq62 38,000
dell inspiron 1545 45,000
samsung n150 netbook 25,000
hizo ndo zipo sasa hivi...fasta kama uko serious! identify one na nitakuletea..
narudi bongo next week monday/tusday!
pamoja...