Natafuta kiwanja Dar es Salaam (Tabata au Kinyerezi)

Natafuta kiwanja Dar es Salaam (Tabata au Kinyerezi)

Habari ndugu,

Mimi ni kijana niko katika harakati za kujenga maisha japo kwa kujitutumua sana natafuta kiwanja kisichozidi bei ya 5mil Tsh maeneo ya Tabata au Kinyerezi, kiwanja kilichopimwa na size ianzie angalau 600 Sqm kwa ajili ya makazi. Mwenye kujua kinauzwa au kipo anicheki DM

Shukrani.
Nidm nikuunganishe na mjumbe kule hautakosa, hakuna udalali
 
kinyerezi 600qm kwa milion 5 utapigwa njoo DM nikukatie changu kipo barabarani karibia na kituo tu
We mkuu nenda ukione hao wanaokukatisha tamaa ni madalali wanyonyaji hao, sisi ndio tunajua hali halisi ya uchumi na watu mitaani wana hali gani. Kuna mtu alikua na nyumba anauza million 75, amekaa nayo mpaka sasa anatafuta milion 40 ,apewe angalau 20 cash nyingine alipwe kidogo kidogo lakin amekosa. Wewe nenda ukione kiwanja ,jiridhishe na mazingira yake. Hakuna cha Kinyerezi wala Goba ,wala Madale
 
Kiwanjaa milion tano tena tabata ..hauko serious wew labda walau useme milion 30 au 40 hv namkumbuka jamaa angu anafanya kazi crdb. Hapo alinunua kiwanja maeneo ya sinza mori sq600 bei ilikuwaa milion 40

mwaka gani hiyo kiwanja MOri ?
 
Kimara mwisho square mita 980 majiraji wanajiweza umeme maji yapo mil 30
 
Mkuu kwa Bei hio embu tuwasiliane Uje Huku Kwetu kuna viwanja vya bei hio ila sio kwa size unayotaka.Kuna amacho kina ukubwa huo,hakina hati ila kinabei ya Mili 3.7.Kipo maeneo ya Mbutu Kichangani-Kimboni.
Kuna ambacho kina ukubwa wa sqm 200 kipo chanika kinakwenda kwa M3.5 kina nyumba imefika kwenye lenta ya kupau na uhamia
mil3 plus hio nyumba?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom