Natafuta kiwanja cha kununua

Natafuta kiwanja cha kununua

aunty kemmy,kwa uzoefu wangu wa kujenga madale,mivumoni,bunju na goba,viwanja vingi havina hati,mtu anakukatia eneo mnaandikishiana kisheria na kiserikali mnamalizana,suala la kupima na kushughulikia hati process unafanya wewe mwenyewe,ukibahatika kupata chenye hati kabisa gharama lazima iwe kubwa na pia kwenye kubadilisha umiliki wizarani ni lazima ulipie,hivyo njoo nikuuzie kiwanja madale ninavyo vitatu,then process ya kupima nitakusaidia kwa kukuunganisha na jamaa zangu nilisoma nao chuo wao ni ma-surveyor wapo wizara ya ardhi,ofisi ya ardhi kinondoni nk ili waje wakupimie na wakupe michoro kwa hatua za kuprocess hati,napatikana kwa namba 0786 294545
sister 15 kwa 30 bei gani utaniuzia
 
Mbweni mpiji kina hati,sq mt 645 Tshs 35 m uko tayari? Maji na umeme on Site
 
aunty kemmy,kwa uzoefu wangu wa kujenga madale,mivumoni,bunju na goba,viwanja vingi havina hati,mtu anakukatia eneo mnaandikishiana kisheria na kiserikali mnamalizana,suala la kupima na kushughulikia hati process unafanya wewe mwenyewe,ukibahatika kupata chenye hati kabisa gharama lazima iwe kubwa na pia kwenye kubadilisha umiliki wizarani ni lazima ulipie,hivyo njoo nikuuzie kiwanja madale ninavyo vitatu,then process ya kupima nitakusaidia kwa kukuunganisha na jamaa zangu nilisoma nao chuo wao ni ma-surveyor wapo wizara ya ardhi,ofisi ya ardhi kinondoni nk ili waje wakupimie na wakupe michoro kwa hatua za kuprocess hati,napatikana kwa namba 0786 294545
kwanini usifanye haya yote ndipo uuze?
 
Mkuu njoo kigamboni karibu na dege eco village. Square meters 750. Kipo tambalale na majirani washahamia wanaishi...mills 5.5
 
aunty kemmy,kwa uzoefu wangu wa kujenga madale,mivumoni,bunju na goba,viwanja vingi havina hati,mtu anakukatia eneo mnaandikishiana kisheria na kiserikali mnamalizana,suala la kupima na kushughulikia hati process unafanya wewe mwenyewe,ukibahatika kupata chenye hati kabisa gharama lazima iwe kubwa na pia kwenye kubadilisha umiliki wizarani ni lazima ulipie,hivyo njoo nikuuzie kiwanja madale ninavyo vitatu,then process ya kupima nitakusaidia kwa kukuunganisha na jamaa zangu nilisoma nao chuo wao ni ma-surveyor wapo wizara ya ardhi,ofisi ya ardhi kinondoni nk ili waje wakupimie na wakupe michoro kwa hatua za kuprocess hati,napatikana kwa namba 0786 294545
unauza bei gani hvyo viwanja
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom