Natafuta kiwanja au shamba Dodoma mjini

Natafuta kiwanja au shamba Dodoma mjini

milionea wa kesho

JF-Expert Member
Joined
Dec 28, 2015
Posts
328
Reaction score
632
Habari wakuu. Natafuta kiwanja nje kidogo ya jiji la Dodoma at least kilomita 15 kutoka mjini.

Kiwe kimepimwa na ukubwa wake ukiwA 40x40 itapendeza zaidi.

Nimesema nje kidogo ya jiji kwa unafuu wa bei na pia itafaa kwa project zangu.
 
Back
Top Bottom