milionea wa kesho
JF-Expert Member
- Dec 28, 2015
- 328
- 632
Habari wakuu. Natafuta kiwanja nje kidogo ya jiji la Dodoma at least kilomita 15 kutoka mjini.
Kiwe kimepimwa na ukubwa wake ukiwA 40x40 itapendeza zaidi.
Nimesema nje kidogo ya jiji kwa unafuu wa bei na pia itafaa kwa project zangu.
Kiwe kimepimwa na ukubwa wake ukiwA 40x40 itapendeza zaidi.
Nimesema nje kidogo ya jiji kwa unafuu wa bei na pia itafaa kwa project zangu.