YouTube
JF-Expert Member
- Jul 24, 2012
- 936
- 363
Dijitali ndio hiyoo imetushtukizia sie walalahoi hadi leo hatujaamini kama wamezima kweli na tunahisi watawasha tu analojia,
nahitaji kuwa dijitali na mimi ila ka uwezo kangu kadogo, nipo siriazi nahitaji king'amuzi cha star times na offer yangu ndiyo hiyo TSH 30,000/= , inawezekana hukitumii au umehamia dijitali ya ukweli dstv au unacho cha ziada na hukihitaji. Kikipatikana kile cha zamani itakuwa dili zaidi.
please pm me or call me 0752 858693
nahitaji kuwa dijitali na mimi ila ka uwezo kangu kadogo, nipo siriazi nahitaji king'amuzi cha star times na offer yangu ndiyo hiyo TSH 30,000/= , inawezekana hukitumii au umehamia dijitali ya ukweli dstv au unacho cha ziada na hukihitaji. Kikipatikana kile cha zamani itakuwa dili zaidi.
please pm me or call me 0752 858693
Thank you in advance