goldenball
Member
- Jul 30, 2014
- 65
- 23
Wadau wa jukwaa,habari za majukumu.hope mnalisongesha life kama kawa.
.Hii inamuhusu yoyote mwenye king'amuzi cha startimes ambaye anataka kukiuza anakaribishwa tufanye biashara.Bajeti yangu ni 30,000 tsh,nahitaji kwa ajili ya kumpelekea bi mkubwa huko shamba naye awe anaburudika na ka kideo kake pale nyumbani.
Natanguliza shukrani.
.Hii inamuhusu yoyote mwenye king'amuzi cha startimes ambaye anataka kukiuza anakaribishwa tufanye biashara.Bajeti yangu ni 30,000 tsh,nahitaji kwa ajili ya kumpelekea bi mkubwa huko shamba naye awe anaburudika na ka kideo kake pale nyumbani.
Natanguliza shukrani.