Natafuta kijana wa shamba, mshahara laki

Natafuta kijana wa shamba, mshahara laki

Planet Data bundles

JF-Expert Member
Joined
Sep 22, 2022
Posts
2,283
Reaction score
4,111
Wakuu natafuta kijana wa shamba kutoka usukumani mshahara laki1
Wa kunisimamia shughuli zangu za shamba la miparachichi
Shughuli zenyewe ni kama ifuatavyo
1.Kutunza miti ya parachichi ikiwemo kupalilia,kumwagilia panapobidi na kuwekea mbolea

2.Kuchimba mashimo ya kupanda miche mipya (kwa msimu wa mvua )
3.Kupanda miche mipya na kuihudumia

4.kusadia kuvuna maparachichi msimu wa mavuno


Nb:
🚷Miaka zaid ya 40 (hapana wasije wakanifia shambani)
🚷Mtu anaetaka kurudi nyumbani mara kwa mara(Hapana)
🚷Ambae si mzoefu na kilimo (Hapana)
🚷Wanaume wa dar,pwani,zanzibar au visiwani (hapana)
🚷Watoto hapana
 

Attachments

  • IMG_5761.jpeg
    IMG_5761.jpeg
    97.3 KB · Views: 30
  • IMG_5763.jpeg
    IMG_5763.jpeg
    79.8 KB · Views: 28

Similar Discussions

Back
Top Bottom