Jaslaws
JF-Expert Member
- May 31, 2011
- 6,016
- 5,300
Habarini za saa hizi.,kama kichwa cha habari kinavojieleza..natafuta kijana hasa wa kike wakusaidia kusimamia biashara..
Qualification.
1.Degree ya uchumi.
2.Uzoefu angalau mwaka mmoja
3.Awe mwaminifu sana.
4.Awe na uwezo mzuri wa kuandika bussness proposals..
5.Asiwe na mawazo mgando.
6.Wasichana watapewa kipaumbele.
Mshahara unaridhisha sana.utapewa na usafiri wa kukusaidia katika kazi.
Interested applicants ni pm tafadhari.
Qualification.
1.Degree ya uchumi.
2.Uzoefu angalau mwaka mmoja
3.Awe mwaminifu sana.
4.Awe na uwezo mzuri wa kuandika bussness proposals..
5.Asiwe na mawazo mgando.
6.Wasichana watapewa kipaumbele.
Mshahara unaridhisha sana.utapewa na usafiri wa kukusaidia katika kazi.
Interested applicants ni pm tafadhari.