Kilichagaa19
Member
- Sep 14, 2018
- 83
- 46
- Thread starter
- #61
๐๐๐๐Ngoja ninunue gauni kabisa ninaweza kuletewa kadi ya harusi hapa
๐๐๐๐Ngoja ninunue gauni kabisa ninaweza kuletewa kadi ya harusi hapa
๐tena ni mbuzi wa TengeruNa kukata ndafu.
No mbuzi wa kwa moromboo๐tena ni mbuzi wa Tengeru
๐๐๐ kabisaNo mbuzi wa kwa moromboo
Na wewe unanyege leo umeamua kuvunja ukimya isije ikaota utandoZa nyakati hizi mimi ni msichana age miaka 27 natafuta mwanaume karibu na mimi arusha au moshi .
Maana wa mbali kujenga mahusiano nitakuwa najidanganya mimi najiamini .
Ni mzuri ,mkarimu na pia napenda sana kupika , na mitoko.
Sifa kwa mwanaume
Mrefu wastani mzuri wa moyo na akivalishwa anavalika.
Awe tayari kunijali awe nakazi na elimu pia .
Umri 30 - 36 sitaki kuwa na wazee sanaa .
Nitazeeka pia .
Najiamini sipendi watu serious hata hawacheki napenda watu wacheshi na saa yakazi ni kazi .
Awe mkweli kabisa .
Kunijali ni sawa .
Nataka wakuniliwaza sio wa kero na stress .
Kama uko single ni pm only arusha and moshi plz.
Kuoana ni mipango kama ikitokea poa .
Ila kuwa na kampani sio mbaya.
Karibuni kwa masingle boys.
Mzee wa kigezo maalumChura ipo?
Hahahaa et Tengeru, unapajua hapo mkuu?tena ni mbuzi wa Tengeru
Hata mimi nataka kuona uzuri wao tu.Kila la heri bibie..kua makin humu wengine watakuja ili kutaka kuona uzuri wako tu
ha ha ha..kumbe upooVipi una churaaa?..maana dada zangu mim nawajua
Niende wap aisee..... vp huna hata jirani? dada yetu anataka chombo ha Arha ha ha..kumbe upoo
wapoo wengii ngoja niwashtue dada ako asipate shidaNiende wap aisee..... vp huna hata jirani? dada yetu anataka chombo ha Ar
Fanya hivyo buanaaawapoo wengii ngoja niwashtue dada ako asipate shida