Kilichagaa19
Member
- Sep 14, 2018
- 83
- 46
Za nyakati hizi mimi ni msichana age miaka 27 natafuta mwanaume karibu na mimi arusha au moshi .
Maana wa mbali kujenga mahusiano nitakuwa najidanganya mimi najiamini .
Ni mzuri ,mkarimu na pia napenda sana kupika , na mitoko.
Sifa kwa mwanaume
Mrefu wastani mzuri wa moyo na akivalishwa anavalika.
Awe tayari kunijali awe nakazi na elimu pia .
Umri 30 - 36 sitaki kuwa na wazee sanaa .
Nitazeeka pia .
Najiamini sipendi watu serious hata hawacheki napenda watu wacheshi na saa yakazi ni kazi .
Awe mkweli kabisa .
Kunijali ni sawa .
Nataka wakuniliwaza sio wa kero na stress .
Kama uko single ni pm only arusha and moshi plz.
Kuoana ni mipango kama ikitokea poa .
Ila kuwa na kampani sio mbaya.
Karibuni kwa masingle boys.
Maana wa mbali kujenga mahusiano nitakuwa najidanganya mimi najiamini .
Ni mzuri ,mkarimu na pia napenda sana kupika , na mitoko.
Sifa kwa mwanaume
Mrefu wastani mzuri wa moyo na akivalishwa anavalika.
Awe tayari kunijali awe nakazi na elimu pia .
Umri 30 - 36 sitaki kuwa na wazee sanaa .
Nitazeeka pia .
Najiamini sipendi watu serious hata hawacheki napenda watu wacheshi na saa yakazi ni kazi .
Awe mkweli kabisa .
Kunijali ni sawa .
Nataka wakuniliwaza sio wa kero na stress .
Kama uko single ni pm only arusha and moshi plz.
Kuoana ni mipango kama ikitokea poa .
Ila kuwa na kampani sio mbaya.
Karibuni kwa masingle boys.