Uko mkoa gani
Tatizo capital, mwenye kazi anitafute nipo tayari ata kuuza duka 0758 106 501Sasa c ufungue hata kibanda cha mama ntilie.food science then bado unataka kuajiriwa!
Wewe ni foodist kweli au unataniaHabari zenu jamani
Mimi hapa natafuta kazi yoyote iliyo halali hata ya kuuza duka la vyakula sawa maana hapa nilipo sina hata sehemu ya kulala nimehifadhiwa kwa rafiki yangu. Nipo dar ni mwanaume elimu yangu ni Bachelor degree of science in food science and Technology. Nisaidieni jamani naumbuka napatikana kwa 0758 106 501. Nimejaribu kutafuta sehemu mbalimbali lakini mpaka sasa bado kimya tu.
mkuu hebu check bakhresa na mohamed enterprises,ila nijuavyo hizi kazi zipo nyingi we tulia usiendeshwe na pressure ya maisha ,au rudi ulikofanyia field kidogo uombe upate experienceHabari zenu jamani
Mimi hapa natafuta kazi yoyote iliyo halali hata ya kuuza duka la vyakula sawa maana hapa nilipo sina hata sehemu ya kulala nimehifadhiwa kwa rafiki yangu. Nipo dar ni mwanaume elimu yangu ni Bachelor degree of science in food science and Technology. Nisaidieni jamani naumbuka napatikana kwa 0758 106 501. Nimejaribu kutafuta sehemu mbalimbali lakini mpaka sasa bado kimya tu.
Kweli mkuu sitanii.Wewe ni foodist kweli au unatania
Mtaji nitaupataje bila ajira mkuu. Hapa nilipo sina hata capital ya kuanzia chochote.Go back home, tafuta mtaji halafu fungua project yako. Utakuwa umewasidia na wengine kupata ajira
Ahsante mkuu.Duh pole sana mkuu zidisha maombi hakika utafanikiwa