Natafuta kazi

Natafuta kazi

Andika Bussiness plan,fund zipo sana.
Ukimaliza nenda wizara ya kilimo watakwambia la kufanya.
 
Hiyo idea ninayo kichwani tu kwa hivi sasa natafuta kazi ili nipate mtaji, hapa nilipo sina banda wala eneo la kufugia mimi mwenyewe nipo kwa rafiki.
Ungetaka kuanza na kuku wangapi???
 
Hiyo proposal yako ukipeleka kwa wafadhili wala hawatahitaji vijisenti vyako ndo wakusaidie.
Elimu yako tayari ni mtaji kwao.

Nenda hata kwa hawa jamaa wa poulty tanzania wanakusaidia.
Usiwaze uwe na cash mkononi
 
habarini wakuu!

Nilitoa tangazo hapa kuwa natafuta kazi yoyote ile iliyo halali elimu yangu Bachelor of science in food science and technology. Lakini mpaka sasa sijapata kazi yoyote ya kuuniingizia kipato na hapa nilipo nimehifadhiwa kwa rafiki, muda wowote akirudi mkewe naondoka mambo yamezidi kuwa magumu kwangu kila nikifikiria. Naombeni msaada wenu kwa mwenye kazi, kwa anaejuwa sehemu inayohitaji mfanyakazi kwa sasa, Nipo tayari kufanya kazi sehemu yoyote hapa Tanzania. Natanguliza shukrani nisaidieni jamani maisha yamezidi kuwa magumu Namba zangu 0758 106 501
 
pole sana mkuu, I can feel what you are now going through. I know how it pinches!

Mungu akufanyie wepesi katika hili. Na unaandika kiswahili fasaha kabisa! dah
 
Kuwa mvumilivu, halafu hapo kwa watu ondoka, nenda kwenu ufanye maombi kwa kutumia simu hakika utafanikiwa, tumia website nyingi uwezavyo kutafta kazi.
 
Vumilia na kingine jaribu kutafuta mwenza (sio ukurupuke uoe, ah ah) hawa watu uwa tuna wadharau ila wengi wao uwa wanakuja na baraka zao!
Mkuu umenigusa, Kaka yangu alipata kazi kwa msaada wa mchumba(mwenza) wake. Mwenza aliona tangazo LA Kazi akamsaidia bro kuapply na bro aliitwa kwenye usaili na akafanikiwa kuajiriwa, kweli wengine wanakuja na bahati zao. (Bro alisota sana mtaani)
 
Haya ni matatizo ya kutengenezwa na wanasiasa wetu, haiwezekani nchi inayoagiza mpaka toothpick kukawa na unemployment, manake kuna watu wamekaa hawajui nini kinatakiwa kufanyika.
 
Hiyo proposal yako ukipeleka kwa wafadhili wala hawatahitaji vijisenti vyako ndo wakusaidie.
Elimu yako tayari ni mtaji kwao.

Nenda hata kwa hawa jamaa wa poulty tanzania wanakusaidia.
Usiwaze uwe na cash mkononi
Wapo wapi mkuu.
 
Back
Top Bottom