Habari wana JamiiForums. Nimehangaika sana kutafuta kazi mpaka nimechoka. Nakujiajiri siwezi kwa sababu sina mtaji. Nakukaa nyumbani nimechoka. kwa hiyo ndugu zangu natafuta kazi hasa kama ya kuuza duka, au kwenye huduma za m-pesa au mitandao mingine. Nipo Shinyanga.
Asanteni.
Asanteni.