Natafuta kazi

Natafuta kazi

Wanaotoa comment za kukukera nia yao kukukatisha tamaa ndugu yanga usiwajibu!.. muda mwingine kukaa kimya ni jibu tosha mama kila kheri Mungu akusaidia katika hitaji lako.
Kweli kabisa mamii better kukaa kimya
 
Kaa kimya dada usijibishane na watu humu. Kwa waajiri wanaohitaji watu kweli watakutafuta tu. Wengine wanaweza kukupima humuhumu kwa comments za dharau kuona uwezo wako wa kuhandle customers. Nakushauri kaa kimya, tangazo lako linaeleweka, walio serious watakutafuta.
 
Siamini Dada km kuna mtu alipata kazi via jf, that's why someone through his thread, he wrote b4 joining jf we need to measure ur IQ
 
JAMANI NA MIMI NI KIJANA WA GRAPHIC NAWEZA TENGENEZA LOGO,BROCHURE, BUSINESS CARD NA POSTER ZA KILA AINA NAWEZA KUFANYA KAZI BURE BILA KULIPWA KWA MWIKI TATU ZA KWANZA ILI UNITEST UONE KAMA NATANIA/NAMAANISHA KWA MWENYE INTEREST NAMI WHATS APP 0629541980
SOFTWARE NAZOTUMIA NI
ADOBE PHOTOSHOP CC2017
ADOBE ILLUSTRATOR CC2017
ADOBE INDESIGN CC2017
LAKINI PIA NI MWANAFUNZI WA CHUO CHA SOKOINE MWAKA WA PILI BSC.INFORMATICS
 
JAMANI NA MIMI NI KIJANA WA GRAPHIC NAWEZA TENGENEZA LOGO,BROCHURE, BUSINESS CARD NA POSTER ZA KILA AINA NAWEZA KUFANYA KAZI BURE BILA KULIPWA KWA MWIKI TATU ZA KWANZA ILI UNITEST UONE KAMA NATANIA/NAMAANISHA KWA MWENYE INTEREST NAMI WHATS APP 0629541980
SOFTWARE NAZOTUMIA NI
ADOBE PHOTOSHOP CC2017
ADOBE ILLUSTRATOR CC2017
ADOBE INDESIGN CC2017
LAKINI PIA NI MWANAFUNZI WA CHUO CHA SOKOINE MWAKA WA PILI BSC.INFORMATICS

Kwa hiyo unataka uajiriwe ?

Mimi nadhani una nafasi nzuri zaidi ya kujiajiri

Tengenza logo na brochures kama sample na uzitangaze mitandaoni (kama anavyofanya Logoriddim) utapata wateja

Biashara za siku hizi zinataka kujitangaza sana kwa hivyo wenye uhitaji wa logo na vitu vya aina hiyo ni wengi
 
Kwa hiyo unataka uajiriwe ?

Mimi nadhani una nafasi nzuri zaidi ya kujiajiri

Tengenza logo na brochures kama sample na uzitangaze mitandaoni (kama anavyofanya Logoriddim) utapata wateja

Biashara za siku hizi zinataka kujitangaza sana kwa hivyo wenye uhitaji wa logo na vitu vya aina hiyo ni wengi
nimekupata mkuu nilikuwa nataka kazi hiyo kaka
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom