Joseverest
JF-Expert Member
- Sep 25, 2013
- 53,159
- 72,199
Ok kila la heri bibieOkay Jose nimekuelewa and thanks kwa ushauri
Ok kila la heri bibieOkay Jose nimekuelewa and thanks kwa ushauri
Wewe unaweza kuweka cv yako hapa?then kama huna utofouti na watz wenzako then weka cv yako mezani upate kazi mkuu...
ThanksOk kila la heri bibie
Sio kuweka cv,kuna tofauti ya cv na kutaja elimu yako...kwan kuna shida gan kusema una certificate/diploma/degree ya marketing? Au business administration?Thanks
Mimi nimeamua kutokuweka kwa maana yanguSio kuweka cv,kuna tofauti ya cv na kutaja elimu yako...kwan kuna shida gan kusema una certificate/diploma/degree ya marketing? Au business administration?
Sent using Jamii Forums mobile app
Dar......yah nipo tayari........elimu njoo pmunapatikana wapi? unaweza kufanya kazi mkoa wowote hapa tz? vipi kuhusu Elimu?
Nitumie Cv yakoHellow
Ni matumaini yangu wote mpo wazima.......ningependa kupata kazi katika post zifuatazo
Customer Care
Office Administrator
Credit officer: hapa sina experience ila najua nikipata training nitakuwa vizuri
Marketing officer
NOTE:
Kama kuna mtu atakuwa anauhitaji na mimi anaweza kunicheck pm kwa maelezo zaidi pamoja na elimu yangu
Ni matumaini yangu nitaweza kupata msaada!!! Thanks
Naomba email yako
Thanks
Prime Minister
Pm maana yake ni kifupi cha private messege kwa huku jf (inbox)
Wenzio wanaweka CV zao online wewe unaona shida tu kuweka level ya elimu yako,are u serious,je wakikujua nn cha ajabu? Kutafuta kazi? Au upo kwenye ajira una hofu bosi wako atajua unatafuta kazi mpya?Thanks...yes nimeficha kwasababu nikitaja hapa wengi watanijua
Hamna mtu atakaenisumbua
Siwezi kuwekaWenzio wanaweka CV zao online wewe unaona shida tu kuweka level ya elimu yako,are u serious,je wakikujua nn cha ajabu? Kutafuta kazi? Au upo kwenye ajira una hofu bosi wako atajua unatafuta kazi mpya?
Sent using Jamii Forums mobile app
Nikiweka hapa elimu yangu wengi watanijua that's why nikaprefer pm
Unatafuta bwana wewe siyo kazi..!Hellow
Ni matumaini yangu wote mpo wazima.......ningependa kupata kazi katika post zifuatazo
Customer Care
Office Administrator
Credit officer: hapa sina experience ila najua nikipata training nitakuwa vizuri
Marketing officer
NOTE:
Kama kuna mtu atakuwa anauhitaji na mimi anaweza kunicheck pm kwa maelezo zaidi pamoja na elimu yangu
Ni matumaini yangu nitaweza kupata msaada!!! Thanks
SijuiKwani hiki ni kichaka cha kujifichia.