Natafuta kazi

Natafuta kazi

Huna shida wewe ya kazi, yani muajiri akufuate kukuuliza elimu yako badala ya wewe kujianika kwa kila Kitu hapa.

Vijana Wa kitanzania tubsdilike jamani, ulipaswa kuweka kila Kitu kwenye post yako

Sent From My Nokia Ya Tochi
Okay
 
KUWA MAKINI SANA WATU WANADUKULIWA SANA KUPITIA VITU HIVI..
 
Wabongo bhana wanaume kweli nuksi..... Ukipitia comment zote hapa utagundua humu kuna vigalula....


Tanzania kufikia uchumi wa kati ni ndoto.... Badala ya kuangalia jinsi gani ya kumsaidia, wanaume mnakuja na majibu ya mipasho,

Kumsaidia mtu siyo lazma utoe hela mawazo yako pia yanaweza kuwa msaada mkubwa kwake......
 
Endelea kucheka but ukimakiza safari ni kwa hisani..! Rejea post yangu ya kwanza niliyotuma kwa huu uzi..!
Pambana na hali yako.......acha na mimi nipambane na yangu please......wewe sio Mungu wala mzazi wangu coz hauwezi kunipangia chochote
 
Pambana na hali yako.......acha na mimi nipambane na yangu please......wewe sio Mungu wala mzazi wangu coz hauwezi kunipangia chochote
Mafanikio kiduchu au makubwa ni zao la akili yako..! Kama average utapata average tuuh..! Siwezi kukupangia maana ata ningeweza kukupangia wenda akili yako haiwezi kukabili hiyo mipango
 
Mafanikio kiduchu au makubwa ni zao la akili yako..! Kama average utapata average tuuh..! Siwezi kukupangia maana ata ningeweza kukupangia wenda akili yako haiwezi kukabili hiyo mipango
Ndo hauwezi sasa kunipangia hata siku moja.......akili ni nywele kila mtu ana zake period
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom