Curious gal
JF-Expert Member
- Dec 1, 2014
- 3,200
- 4,010
- Thread starter
- #41
Yes
Yes
Wewe umeona hili tangazo la kutafuta bwana??? Or hii ni love connect??? Jiongeze basiUnatafuta bwana wewe siyo kazi..!
Kama elimu ni zaidi ya degree unatafuta kazi kwa namna hii ujue ipo shida aisei..!
Ebu nieleweshe kazi zinatafutwaje kwa mfano!!Wewe Ndio Mwenye shida, halafu tukupm haya bana Kama kazi zinatafutwaga hivi tunakuja.
Ata uwe na phd, yanaweza kuwa ni makaratasi ila uwezo wa kupambana na mazingira(emotional intelligence) unaweza kuwa bado iko zero..!Wewe umeona hili tangazo la kutafuta bwana??? Or hii ni love connect??? Jiongeze basi
Hayo ya elimu yangu hayakuhusu nina certificate basi.......hapo tu sijasema elimu yangu mnaongea hivi je ningeweka hapa si ndo mngeniambia mimi muongo!!! Nilijua na ndo maana nikasema kuhusu pm wenye uhitaji na watu wameshanifata endelea kutoa povu




Basi mimi ni zero brainAta uwe na phd, yanaweza kuwa ni makaratasi ila uwezo wa kupambana na mazingira(emotional intelligence) unaweza kuwa bado iko zero..!
Rafiki kusoma ni moja, matumizi ya elimu uliyopata kutatua changamoto za mazingira yanayokuzunguka ni la pili..! So jipime mwenyewe unavyoshughulikia tatizo la ajira(unavyotafuta kazi) utajua km ni u small brain au vipi![]()
Yes na nina watoto wanne
Mtu aliye serious yupoje kwa mfanoHauko serious! Mbona tangazo kama unatafuta bwana?!
Unaona aibu kuweka elimu yako wazi?Hellow
Ni matumaini yangu wote mpo wazima.......ningependa kupata kazi katika post zifuatazo
Customer Care
Office Administrator
Credit officer: hapa sina experience ila najua nikipata training nitakuwa vizuri
Marketing officer
NOTE:
Kama kuna mtu atakuwa anauhitaji na mimi anaweza kunicheck pm kwa maelezo zaidi pamoja na elimu yangu
Ni matumaini yangu nitaweza kupata msaada!!! Thanks
Aibu ya nini?Unaona aibu kuweka elimu yako wazi?
Huko serious,unless otherwise ungeandika kwamba mimi ni mhitimu wa elimu ya kiwango fulani,nimefanya one two three na naomba kazi...Watanzania hatupendi kuchimba chimba,unatafuta kazi kisha unataka mwenye kazi akufuate PM kama anaomba uchumba?Aibu ya nini?
Ooohhh okayHuko serious,unless otherwise ungeandika kwamba mimi ni mhitimu wa elimu ya kiwango fulani,nimefanya one two three na naomba kazi...Watanzania hatupendi kuchimba chimba,unatafuta kazi kisha unataka mwenye kazi akufuate PM kama anaomba uchumba?
Fanya hivyo! JF ni kila kitu you never know! Sijasema uweke vyeti vyako wala jina fanya kuelaborate zaidi maelezo yako!Ooohhh okay
Nashukuru kwa ushauri wako......be blessedFanya hivyo! JF ni kila kitu you never know! Sijasema uweke vyeti vyako wala jina fanya kuelaborate zaidi maelezo yako!
Baraka hizo zikurudie pia!Nashukuru kwa ushauri wako......be blessed
Haya maneno umesema wewe..!Basi mimi ni zero brain
Mbona unauliza maswali ya kitoto..!???Mtu aliye serious yupoje kwa mfano