Natafuta kazi

Natafuta kazi

Curious gal

JF-Expert Member
Joined
Dec 1, 2014
Posts
3,200
Reaction score
4,010
Hellow ni matumaini yangu wote mpo wazima ningependa kupata kazi katika post zifuatazo Customer Care ,Office Administrator Credit officer hapa sina experience ila najua nikipata training nitakuwa vizuri marketing office

NOTE:
Kama kuna mtu atakuwa anauhitaji na mimi anaweza kunicheck pm kwa maelezo zaidi pamoja na elimu yangu

Ni matumaini yangu nitaweza kupata msaada!!! Thanks
 
safari njema mkuu japo detail nyingi umeficha.

Unawapa wigo mpana wasumbufu kutimba huko pm.
 
Hellow
Ni matumaini yangu wote mpo wazima.......ningependa kupata kazi katika post zifuatazo
Customer Care
Office Administrator
Credit officer: hapa sina experience ila najua nikipata training nitakuwa vizuri
Marketing officer

NOTE:
Kama kuna mtu atakuwa anauhitaji na mimi anaweza kunicheck pm kwa maelezo zaidi pamoja na elimu yangu

Ni matumaini yangu nitaweza kupata msaada!!! Thanks
Hv pm maana yake nn

Sent using Jamii Forums mobile app
 
NOTE:
Kama kuna mtu atakuwa anauhitaji na mimi anaweza kunicheck pm kwa maelezo zaidi pamoja na elimu yangu[/QUOTE]
Hapo ndo nilipopaelewa, natafuta njia ya kufika huko PM
 
safari njema mkuu japo detail nyingi umeficha.

Unawapa wigo mpana wasumbufu kutimba huko pm.
Thanks...yes nimeficha kwasababu nikitaja hapa wengi watanijua

Hamna mtu atakaenisumbua
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom