Natafuta kazi

Natafuta kazi

HaMachiach

JF-Expert Member
Joined
Dec 15, 2015
Posts
3,445
Reaction score
6,207
Wadau nmemaliza mwakajana chuo na nimesomea special education na deal na wanafunzi wenye mahitaji maalumu na subiri mtukufu atoe ajira hadi leo hii nasota kitaa ningesoma education yakawaida ningeenda hata private hivyo naombeni kazi yoyote hata ya kuuza butcha ntafanya life limekuwa gumu balaa asanten
 
Ebu jaribu kujiajiri kwanza tuone kama inawezekana
 
Wadau nmemaliza mwakajana chuo na nimesomea special education na deal na wanafunzi wenye mahitaji maalumu na subiri mtukufu atoe ajira hadi leo hii nasota kitaa ningesoma education yakawaida ningeenda hata private hivyo naombeni kazi yoyote hata ya kuuza butcha ntafanya life limekuwa gumu balaa asanten
Mtukufu.......
 
Special education unaweza kufundisha hata shule za kawaida ni uoga wako tu tafuta shule hata private upige temple ukikaa unadubiri ajira hadi mwakani july
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom