Natafuta kazi za ndani

Natafuta kazi za ndani

Joined
Feb 14, 2017
Posts
30
Reaction score
14
Habari wakuu, natafuta kazi za ndani ,ndani ya Jiji la Dar mwenye uhitaji ani SMS kwa no 0625 553897 nipo serious siitajii mizaha na kejeli.
 
Mdau amekusaidia kwa kuweka Uzi wa mtu alie hitaji mdada wa kazi.......
Alafu wewe unajifanya mjuaji...[emoji45] [emoji45]
Watu wengine nyie ni hovyo kabisa...[emoji34] [emoji34] [emoji34]

Hatafuti kazi huyo, mpigie ujue anachotafuta.

Maana kuna zile style mtu anatangaza nauza hiki kumbe anauza kingine.
 
Nakuonea huruma, baba yupo nyumbani kwa forgery saga hana hela ya kuchepukia sasa ukienda si ndio anakua kapata ahueni? plus mtoto wa bosi nae
 
Hatafuti kazi huyo, mpigie ujue anachotafuta.

Maana kuna zile style mtu anatangaza nauza hiki kumbe anauza kingine.
haha nashangaa sana nimempa uzi wa asubuhi wa mtu anayetafuta mfanyakazi wa ndani halafu ananimbia anataka text huyu hafai

ngoja nimfwate yule mdau anayetafuta mfanyakazi ni mwambie huyu ampotezee kabisaa anaonyesha anakiburi na majigambo🙄🙄🙄🙄🙄


na ni gaidi pia chineeke
 
Mdau amekusaidia kwa kuweka Uzi wa mtu alie hitaji mdada wa kazi.......
Alafu wewe unajifanya mjuaji...Watu wengine nyie ni hovyo kabisa...[emoji34] [emoji34] [emoji34]
Ametoa namba yake. Hujaelewa tu anachotafuta?
 
hhaha nashangaa sana nimempa uzi wa asubuhi halafu ananmbia anataka text huyu hafai ngoja nimfwate yule mdau anayetafuta mfanyakazi ni mwambie huyu ampotezee kabisaa anaonyesha anakiburi na majigambo
Utakuwa umefanya vizuri, wapo walio serious watachukua no nakufata maelekezo niliyoyatoa.
 
Mdau amekusaidia kwa kuweka Uzi wa mtu alie hitaji mdada wa kazi.......
Alafu wewe unajifanya mjuaji...[emoji45] [emoji45]
Watu wengine nyie ni hovyo kabisa...[emoji34] [emoji34] [emoji34]
hhahaha najuta kupoteza muda wangu wewe ndo unashida halafu unapanga masherty maajabu tumuache kama alivyo
 
hhaha nashangaa sana nimempa uzi wa asubuhi halafu ananmbia anataka text huyu hafai ngoja nimfwate yule mdau anayetafuta mfanyakazi ni mwambie huyu ampotezee kabisaa anaonyesha anakiburi na majigambo

Yaani nimechoka!!
Kweli dunia ina mambo... halafu anajibu kwa hasira kabisa, iwe bojoo...
 
Yaani nimechoka!!
Kweli dunia ina mambo... halafu anajibu kwa hasira kabisa, iwe bojoo...
tehetehe huyu akiingia kwenye nyumba ya mtu anapindua serikali nzima awe mke wa mwenyenyumba atude yake si nzuri
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom