Natafuta kazi za ndani

Natafuta kazi za ndani

Inaonyesha wewe ni mbishi na huna staha. Endelea utapata tu lakini ushauri wangu badilika kabla hujapata hiyo kazi. Nina jamaa anahitaji mdada wa kazi lakini wewe hufai
kwakweli huyu anakiburi kabisa ama ana lake jambo anatafuta hapa sio kazi
 
Kwanza umri umeenda 27 parefu sana kwa mdada wa kazi
 
Inaonyesha wewe ni mbishi na huna staha. Endelea utapata tu lakini ushauri wangu badilika kabla hujapata hiyo kazi. Nina jamaa anahitaji mdada wa kazi lakini wewe hufai
Nimewagundua wote nyinyi dhamili zenu poleni.
 
Inaonyesha wewe ni mbishi na huna staha. Endelea utapata tu lakini ushauri wangu badilika kabla hujapata hiyo kazi. Nina jamaa anahitaji mdada wa kazi lakini wewe hufai
Matangazo ya biashara hayo.
 
Nimetoa no ,nimesema mwenye uhitaji ani SMS.
Wewe una kifaduro jike?

Unahitaji kazi na ukaconnectiwa na mtu anayehitaji binti wa kazi (Anaweza kuwa Mwajiri wako)

Ila wewe unaleta kisebusebu.

Baki hivyohivyo.
 
Hawa ndio wale wanaotuuzia karanga na mihogo mibichi kwenye folen ukiweza kununua sinia zima ndio dau lake...
Hii ni kama rejesta na wateja wake washamuelewa na huenda wanamiminika sahz huko pm inbox wherever
 
Hatafuti kazi huyo, mpigie ujue anachotafuta.

Maana kuna zile style mtu anatangaza nauza hiki kumbe anauza kingine.
Ebu ngoja nikamate fursa aiseee......
Naona mbuzi amefia kwa muuza supu....
 
Hana shida ya kazi huyo, mtafuteni tu jamani ambao vyeti vyenu ni original...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom