Soulja boy
JF-Expert Member
- Oct 3, 2015
- 4,612
- 8,051
Una ujuzi gani?
Amina ubarikiwe ndugu yanguPole sana
Mungu akufungulie
Mkuu naomba tupe elimu ya kufahamu hizi affirmation huwa zinafanyaje kazi. Kwa upande wangu huwa sielewi ni namna gani affirmation zinaleta kile kitu unachokitaka.Bwana asifiwe kwako ndugu, sina connection ila nachoweza kukuambia nikwamba kila siku kila saa ukiweza zungumza maneno haya bila kuchoka ua kukata tamaa kimoyo moyo..
Hakikisha kabla hujalala unayazungumza na pia wakati umeamka kitu cha kwanza kukifikiria ni haya maneno
"NINA KAZI KUBWA YENYE MSHAHARA MKUBWA"
Mimi bado ni mwanafunzi, na nazidi kujifunza zaidi... Dunia hii hakuna kinachoshindikana kama ukijua kanuni ilivyo na inavyofanya kazi.. labda nikupe kitabu chakusoma huko utapata mambo mengi zaidi ya hili uliloliuliza...Mkuu naomba tupe elimu ya kufahamu hizi affirmation huwa zinafanyaje kazi. Kwa upande wangu huwa sielewi ni namna gani affirmation zinaleta kile kitu unachokitaka.
Kinachofanyika ni kuiaminisha SUBCONSCIOUS MIND yako kwamba hali halisi ni hiyo(unayoitamka), maana SUBCONSCIOUS MIND haijui hii ni kweli au sio kweli.. so, ni jukumu lako kuiaminisha vile unavyotaka iwe. Then hilo jambo likiaminika kwenye SUBCONSCIOUS MIND ndo linatokea in real life.Mkuu naomba tupe elimu ya kufahamu hizi affirmation huwa zinafanyaje kazi. Kwa upande wangu huwa sielewi ni namna gani affirmation zinaleta kile kitu unachokitaka.
Ndio ninayo mkuuUna leseni ya udereva
Sawasawa maneno huumbaBwana asifiwe kwako ndugu, sina connection ila nachoweza kukuambia nikwamba kila siku kila saa ukiweza zungumza maneno haya bila kuchoka ua kukata tamaa kimoyo moyo..
Hakikisha kabla hujalala unayazungumza na pia wakati umeamka kitu cha kwanza kukifikiria ni haya maneno
"NINA KAZI KUBWA YENYE MSHAHARA MKUBWA"
Habali wapendwa omba langu bado sijafanikiwa utakae guswa piga namba hii 0615860271 asanteniNakuja kwenu komba kazi au connection ya kazi yoyote au aliye kazi ya usimamia ni mwadilifu na mwaminifu Asante mungu awabariki
Ualimu umeacha?Dr....nipe connection mwenzio jamani![]()
Ualimu gani acha upotoshaji .unachuma dhambi ya kusema uwongo bure ni bora kukaa kimya pia ni busara
Mbona sijakujibu wewe Mzee?Ualimu gani acha upotoshaji .unachuma dhambi ya kusema uwongo bure ni bora kukaa kimya pia ni busara
SawaMbona sijakujibu wewe Mzee?
Nmemjibu huyo To yeye To yeye unavamia comment isiyokuhusu
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app