we unaweza? Tuanzie hapo kwanza.Kukimbia na mzigo wa kilo 100 begani kwenye giza unaweza?
Ndo kazi zanguwe unaweza? Tuanzie hapo kwanza.
Ndio naweza cha msngi mkono uingie kinywaniNdo kazi zangu
NATAKUTA???!NINGEKUWA MIMI NDO WEWE THREAD YANGU INGEKUWA HIVI.
KICHWA CHA MADA: NATAKUTA KAZI YOYOTE HALALI.
Habari za wakati huu wapendwa wa Mungu wa jamiiforums.
NImekuja mbele yenu nikiwa mnyenyekevu kuwaomba kwa yoyote anayeweza kuniunganisha nikapata kazi halali itakayoniingizia kipato changu cha kilasiku anisaidie kwa hilo.
Sifa yangu kubwa ni uaminifu na uchapakazi.
KIwango changu cha juu cha elimu ni SHAHADA YA UZAMILI nikijua kusoma na kuandika.
Niko tayari kufanya kazi mkoa wowote ule Tanzania.
Naomba kuwasilisha.
Ua the living testimonyBwana asifiwe kwako ndugu, sina connection ila nachoweza kukuambia nikwamba kila siku kila saa ukiweza zungumza maneno haya bila kuchoka ua kukata tamaa kimoyo moyo..
Hakikisha kabla hujalala unayazungumza na pia wakati umeamka kitu cha kwanza kukifikiria ni haya maneno
"NINA KAZI KUBWA YENYE MSHAHARA MKUBWA"
Kumbe?!Inaonekana unayapenda![]()