Natafuta kazi yoyote

Natafuta kazi yoyote

Ndungu ni tusi gani tena
Ukisoma kwenye bible kuna kipindi wana wa Israel kipindi wapo jangwani hawana chakula Mungu aliwashushia chakula kitamu sana kikiitwa mana kutoka mbinguni, sasa kuna siku jamaa anatueleza kuhusu hio hadithi, kumbe kuna mzee pale kwa kikabila chao mana it means vagina. I think kerewe.

Yule mzee aliongea kwa hasira sana "acheni kuongea matusi shenzi".
Aliyekuwa akirejea kwenye biblia alikuwa anaisifia mana balaa, yaani utasema alishaila🤣
 
NINGEKUWA MIMI NDO WEWE THREAD YANGU INGEKUWA HIVI.

KICHWA CHA MADA: NATAKUTA KAZI YOYOTE HALALI.

Habari za wakati huu wapendwa wa Mungu wa jamiiforums.
NImekuja mbele yenu nikiwa mnyenyekevu kuwaomba kwa yoyote anayeweza kuniunganisha nikapata kazi halali itakayoniingizia kipato changu cha kilasiku anisaidie kwa hilo.
Sifa yangu kubwa ni uaminifu na uchapakazi.

KIwango changu cha juu cha elimu ni SHAHADA YA UZAMILI nikijua kusoma na kuandika.

Niko tayari kufanya kazi mkoa wowote ule Tanzania.

Naomba kuwasilisha.
 
Ukisoma kwenye bible kuna kipindi wana wa Israel kipindi wapo jangwani hawana chakula Mungu aliwashushia chakula kitamu sana kikiitwa mana kutoka mbinguni, sasa kuna siku jamaa anatueleza kuhusu hio hadithi, kumbe kuna mzee pale kwa kikabila chao mana it means vagina. I think kerewe.

Yule mzee aliongea kwa hasira sana "acheni kuongea matusi shenzi".
Aliyekuwa akirejea kwenye biblia alikuwa anaisifia mana balaa, yaani utasema alishaila🤣
🤣🤣🤣🤣🤣
Dah
 
Bwana asifiwe kwako ndugu, sina connection ila nachoweza kukuambia nikwamba kila siku kila saa ukiweza zungumza maneno haya bila kuchoka ua kukata tamaa kimoyo moyo..

Hakikisha kabla hujalala unayazungumza na pia wakati umeamka kitu cha kwanza kukifikiria ni haya maneno

"NINA KAZI KUBWA YENYE MSHAHARA MKUBWA"
 
Yeah...ni kende mkuu
Unajua kila jina unalotumia linakuwa na taswira tofauti ya kiungo husika.

Pumbu ni la kawaida halina mambo mengi fikirishi.

Korodani imekaa kitabibu.

Kende sasa, ni lile lenye vuzi lililobadilika rangi kwa nongo na lina layers za uchafu kama nta🤣🤣🤣
 
Unajua kila jina unalotumia linakuwa na taswira tofauti ya kiungo husika.

Pumbu ni la kawaida halina mambo mengi fikirishi.

Korodani imekaa kitabibu.

Kende sasa, ni lile lenye vuzi lililobadilika rangi kwa nongo na lina layers za uchafu kama nta🤣🤣🤣
🤣🤣🤣🤣🤣🙌🏿
 
Kazi anazo Azam na wewe umeanza vibaya ungesema Aslamalkemu bismilah wabarakatu...
Simu ingeshaita..ila usijali
 
Back
Top Bottom