Vishu Mtata
JF-Expert Member
- Dec 15, 2019
- 10,999
- 22,707
Umewahi kwenda ukalipwa elfu tatu??Pole Ila usithubutu kwenda viwandani hasa Kwa bakhressa au mo. Utapata matatizo ya Afya na utadumaa Akili maana wanalipa elfu tatu.
Akili unajidumaza mwenyewe kwa kutokua na malengo.