Haya ndo maneno sasa so unaanza kumpa kitabu😂😂😍😍Najuwa wasamalia wengi watajitokeza na kuoffer nini cha kukusaidia.
Ila Kwa ushauri anza sasa kufanya research ni bar au Pub gani ina mzunguko mkubwa wa wateja wa chakula na hakuna kitengo cha matunda ongea na manager Muombe unataka kutowa huduma ya matunda kwenye eneo hilo.
Wastani wa bei ya plate ya matunda ni sh 1000/= na uzuri Watanzania wengi sasa hivi ni wagonjwa wanaotembea umuhimu wa Kula matunda wanaujuwa, unachopaswa ni kuwa msafi wa mavazi shati jeupe na aproan na huduma yako iwe ya usafi wa Hali ya juu hapo umetobowa.
Mimi naweza kukusapoti ukiweza hii proposal, lakini ni option tu Kati ya nyingi utakazoshauriwa hapa.
Mshahara wako unatakiwa ulipwe kwa kuangalia nini;samahani sijaelewa fomula ya kivipi?
Halafu usinizowee Pimbi wewe, tafuta watoto wenzako wa kufanya nao comedy.Haya ndo maneno sasa so unaanza kumpa kitabu😂😂😍😍
Ushauri mzuri
sawa mkuu ushauri mzuri umempaHalafu usinizowee Pimbi wewe, tafuta watoto wenzako wa kufanya nao comedy.
Stupid.
sehemu nilizojaribu wanaajiri wanawake kwenye uhudumuBaa zote hizi mjini umekosa kazi? Maana umetuambia unataka kazi yeyote.
sawa naomba tuwasiliane 0694925915Mshahara wako unatakiwa ulipwe kwa kuangalia nini;
Mfano wa fomula:
Mshahara = 20,000 + % mauzo;
Hii inamaana kwamba, kama kwa mwezi husika hakuna masoko yaliyopatikana, utapokea 20,000 tu.
watu wenye shida kiasi hicho huwa hawawezi kuwaza kuja JF na huwa hawapajui kabisa.Naamini huyu ni kaka mtu anamtafutia kibarua nduguye.Sio mbaya.Habarini ndugu wana jf.Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 21,elimu yangu ni form 2.Sikuweza kumaliza shule kwa sababu maisha ya nyumbani sio mazuri familia yetu ni ya mama mmoja na watoto watatu wa kiume na mimi ni wa kwanza kuzaliwa.Ninaomba msaada wa kazi ya aina yoyote ndugu zanguni maana kwa upande wangu kila siku afadhali ya jana mfano leo tangu asubuhi nimetoka nyumbani (ninaishi na marafiki wa5 ghetto mwananyamala kisiwani ila kiasili baba mmakonde mama ni wa Tanga na siishi nao) alfajir kwenda kutafuta kazi masaki ila nimeambulia patupu na sijala tangu jana mchana hapa nilipo ni mawazo mabaya yananiandama naombeni mnisaidie mi ni mchapakaz mzuri tu shida kazi ndo sina.Nipo tayari kwa kazi yoyote na mwenyezi mungu awape wepesi wa mioyo natumaini kilio changu kitasikika amiina 0694925915
hapana ndugu naifuatilia jamiiforum tangu 2017 niliifaham kupitia free basics ilikuwa inapatikana burewatu wenye shida kiasi hicho huwa hawawezi kuwaza kuja JF na huwa hawapajui kabisa.Naamini huyu ni kaka mtu anamtafutia kibarua nduguye.Sio mbaya.
Kama hujala tangu jana kweli una kifurushi cha kukuunganisha na JF.hapana ndugu naifuatilia jamiiforum tangu 2017 niliifaham kupitia free basics ilikuwa inapatikana bure
Nakucheki.nipo mwananyamala kisiwani mkuu
daah,omba sana mungu yasikukute ila najiunga kifurushi cha wiki 1000 napata dkk na mb 350 kuhusu sim yangu natamani tungebahatika kuonana ili nikuonyeshe inavyotumia opera mini.narudia mitihani ni yetu sote ila omba sana mungu asikupitishe njia tunazopitiaKama hujala tangu jana kweli una kifurushi cha kukuunganisha na JF.
Natamani nikuone na nione kama kweli unaajirika au ni mtu mwizi tu unayetafuta pahala upore na uondoke.
nitashukuru kiongozi kama ukitaka vithibitisho kwa ajili ya usalama nipo tayari ili kukutoa wasiwasiNakucheki.
Una mawazo ya kijima Sana.watu wenye shida kiasi hicho huwa hawawezi kuwaza kuja JF na huwa hawapajui kabisa.Naamini huyu ni kaka mtu anamtafutia kibarua nduguye.Sio mbaya.
Mpe hata mtaji wa kuuza maji, we nakuaminia ni boss hujaamua tu!!Pagumu ndugu yangu
Mi enyewe tia maji! Huyo dogo kwa haraka ni mtu anataka afanye kazi apate chochote mambo yaende sio mtaji apambaneMpe hata mtaji wa kuuza maji, we nakuaminia ni boss hujaamua tu!!
Mtafutie kazi kwa yule mchina wako basiMi enyewe tia maji! Huyo dogo kwa haraka ni mtu anataka afanye kazi apate chochote mambo yaende sio mtaji apambane
page 400 unasomaje ukiwa na njaa plus mawazo😂😂😂 watanzania ni wanasiasa sanaKhaaa 😂😂 kuna watu mnachekesha asa mtu ana njaa unamtumia kitabu cha page 400 asome🤣🤣🤣nchi uchwara hii
Ukitaka uishi vzr usiunganishe watu kwenye biashara kama unaweza muunganishe kwenye halmashaur, kampuni za ulinzi na sehemu zngn ambazo so sensitive sanaMtafutie kazi kwa yule mchina wako basi
Binti hujambo 😀Mpaji Mungu msajili kijana kijiweni kwako asipate tamaa ya kukaba 😔