- Thread starter
- #21
hapana ila natumaini ukinielekeza nitaiwezaKazi ya kutafuta masoko, una uzoefu nayo?
hapana ila natumaini ukinielekeza nitaiwezaKazi ya kutafuta masoko, una uzoefu nayo?
Mkuu intel ya batani inayo jamii forums?sim yangu haiwezi kuonyesha video ni itel ya batani
Isije kuwa Ile ya kuzururisha watu jua Kali kwenye mabar unamvalisha tai mtu saa 7 mchana jua Kali halafu product zenyewe sabuni na dawa za meno za kichina.Kazi ya kutafuta masoko, una uzoefu nayo?
Mkuu intel ya batani inayo jamii forums?sim yangu haiwezi kuonyesha video ni itel ya batani
naingia google kisha na sachi jamiiforumMkuu intel ya batani inayo jamii forums?
Ndio kazi zilizobakia kwa sasaIsije kuwa Ile ya kuzururisha watu jua Kali kwenye mabar unamvalisha tai mtu saa 7 mchana jua Kali halafu product zenyewe sabuni na dawa za meno za kichina.
Kuna swali nimekuwekea, jaribu kulijibuhapana ila natumaini ukinielekeza nitaiweza
nafikiri nitatakiwa kuzunguka katika maduka makubwa na baa ili kuwatangazia kuhusu bidhaa yetu nafikiri itatakiwa matangazo sehemu zote zinazoshughulika na vinywajiUkijibu hili swali vizuri, ujipangie kabisa na mshahara.
Kampuni x inayoshughulika na vinywaji, imezalishwa mzigo wa kreti 500,000; kutokana na mzigo kuwa mkubwa, kampuni x inatafuta kijana wa masoko, atakayeiwezesha kampuni kuuza mzigo wa kreti 5000 kwa siku.
Kama mtafuta ajira, unawezaje kulifanikisha hilo?
nashukuruUpo mwananyamala unaenda kutafuta kazi masaki!!....si uingie hapo mwananyamala sokoni uombe kazi hata ya kubeba mizigo! Kipindi cha mvua unaweza kukaa na dumu la maji unanawisha watu wanaotoka sokoni humo kwa sh 200...unaokota pesa. Daslamu si ya kulalamika kuhusu kazi
nishakujibu mkuuUkijibu hili swali vizuri, ujipangie kabisa na mshahara.
Kampuni x inayoshughulika na vinywaji, imezalishwa mzigo wa kreti 500,000; kutokana na mzigo kuwa mkubwa, kampuni x inatafuta kijana wa masoko, atakayeiwezesha kampuni kuuza mzigo wa kreti 5000 kwa siku.
Kama mtafuta ajira, unawezaje kulifanikisha hilo?
nitaweza mkuu,naishi mwananyamala kisiwaniRafiki yangu.
unaweza kusimamia mashine ya kutengeneza popcorn?
Mwananyamala ipi unaishi ndugu?
Najuwa wasamalia wengi watajitokeza na kuoffer nini cha kukusaidia.biashara yoyote kaka kutegemea na wew utakavyoona inafaa
nafikiri nitatakiwa kuzunguka katika maduka makubwa na baa ili kuwatangazia kuhusu bidhaa yetu nafikiri itatakiwa matangazo sehemu zote zinazoshughulika na vinywaji
nitashukuru mkuu ila ningepata mawasiliano yako ili nikipata sehemu nikufahamisheNajuwa wasamalia wengi watajitokeza na kuoffer nini cha kukusaidia.
Ila Kwa ushauri anza sasa kufanya research ni bar au Pub gani ina mzunguko mkubwa wa wateja wa chakula na hakuna kitengo cha matunda ongea na manager Muombe unataka kutowa huduma ya matunda kwenye eneo hilo.
Wastani wa bei ya plate ya matunda ni sh 1000/= na uzuri Watanzania wengi sasa hivi ni wagonjwa wanaotembea umuhimu wa Kula matunda wanaujuwa, unachopaswa ni kuwa msafi wa mavazi shati jeupe na aproan na huduma yako iwe ya usafi wa Hali ya juu hapo umetobowa.
Mimi naweza kukusapoti ukiweza hii proposal, lakini ni option tu Kati ya nyingi utakazoshauriwa hapa.
samahani sijaelewa fomula ya kivipi?Umepatia kwa 40%, mafunzo ya kabla ya kazi ni muhimu; kawaida kazi ya mauzo huwa ni ya kamisheni, jinsi unavyozidi kuuza/kupata masoko ndivyo mshahara/mapato yako yanavyoongezeka.
Kwa upande wako, fomula gani ni sahihi kwako kulipwa?
nipo mwananyamala kisiwani mkuuRafiki yangu.
unaweza kusimamia mashine ya kutengeneza popcorn?
Mwananyamala ipi unaishi ndugu?
Pagumu ndugu yanguMpaji Mungu msajili kijana kijiweni kwako asipate tamaa ya kukaba 😔