Natafuta kazi yoyote

Natafuta kazi yoyote

Najua kutumia computer
Eneo gani yaani mbona haupo specific na maswali ni direct na mepesi kabisa?!

Hata mimi najua kutumia computer kwenye shughuli kama kuburn CD, kucheki movie, kuandika barua na nyaraka mbali mbali, kucheza gemu na kadhalika.
 
Jamani wapendwa habari zenu.

Nimevumilia nimechoka sasa nimekaa sana nyumbani mpaka nimechoka hata senti inanipiga chenga jamani.

Naombeni kazi sichagui yoyote nafanya muhimu mkono uingie kinywani please msaada jamani.

Nimesomea ualimu nimeaplai nimekosa maisha ni magumu kazi yoyote nafanya nawaombeni sichagui asanteni.
ncheki 0658268999 kazi ya kutembeza maziwa fresh mtaan/stand daresalam
 
Hivi hawa freemasons ni kweli wanaexist au ni romours tu ya impact zao?
We jamaa umewaza mbali ahaaaaaa, ila muomba kazi na wewe hujamsikiliza spika wako wa bunge Mr ndungai anasema graduate mjiajiri fuata ushauri wake
 
Jamani wapendwa habari zenu.

Nimevumilia nimechoka sasa nimekaa sana nyumbani mpaka nimechoka hata senti inanipiga chenga jamani.

Naombeni kazi sichagui yoyote nafanya muhimu mkono uingie kinywani please msaada jamani.

Nimesomea ualimu nimeaplai nimekosa maisha ni magumu kazi yoyote nafanya nawaombeni sichagui asanteni.
Nenda haraka ukalime.huku jamii forum unapoteza muda.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom