HASHIMU256
New Member
- Oct 26, 2024
- 4
- 5
Habar Wana jukwaa,
Ni kijana wa miaka 27 nipo Dar essalaam Tegeta A natafuta Kazi ndugu zangu tusaidiane kwa wenye connection jamani,
Elimu yangu ni kidato Cha 6 japo nilifika chuo ila sikuhitimu kutokana na changamoto za kiuchumi, naweza kufanya Kazi za stationary yaani printing scanning etc.
Kazi ngumu pia nafanya sichagui Kazi ilmradi Ina maslahi, na pia nimewahi fanya Kazi ya kutengeneza shisha
Naombeni msaada wenu.
0674115095
Ni kijana wa miaka 27 nipo Dar essalaam Tegeta A natafuta Kazi ndugu zangu tusaidiane kwa wenye connection jamani,
Elimu yangu ni kidato Cha 6 japo nilifika chuo ila sikuhitimu kutokana na changamoto za kiuchumi, naweza kufanya Kazi za stationary yaani printing scanning etc.
Kazi ngumu pia nafanya sichagui Kazi ilmradi Ina maslahi, na pia nimewahi fanya Kazi ya kutengeneza shisha
Naombeni msaada wenu.
0674115095