pet geo pet
JF-Expert Member
- Jun 30, 2018
- 516
- 815
Nipo hapa mkuu..naweza nikaja pm tukafanya kazi.Ninalima cannabis sativa kule mbinga nilikuwa nahitaji msafirishaji parcel nalipa zaid ya anaeajiriwa anyway
Ukikosa legal work unaweza nichek
Nipo hapa mkuu..naweza nikaja pm tukafanya kazi.Ninalima cannabis sativa kule mbinga nilikuwa nahitaji msafirishaji parcel nalipa zaid ya anaeajiriwa anyway
Ukikosa legal work unaweza nichek
We kwani ndie umeanzisha uzi. Hii ofa kapewa wenye uzi.Nipo hapa mkuu..naweza nikaja pm tukafanya kazi.
20017 nipo dar es salaam popote nafany Kaz sichagui plzUmemaliza mwaka gani
Mshahar nimakubaliano Kati ya boss na mwajiriwa nipo dar es salaam kinyereziUnataka mshahara kiasi gani, na unaishi wapi DSM
Ni vyema ukataja na mkoa ulipo
Cjaielewa hii ikoj labda unipe mawasilianoo tuwasilianeNinalima cannabis sativa kule mbinga nilikuwa nahitaji msafirishaji parcel nalipa zaid ya anaeajiriwa anyway
Ukikosa legal work unaweza nichek
Unaweza kupambana vizuri? Au ww ni mwepesi mwepesiMshahar nimakubaliano Kati ya boss na mwajiriwa nipo dar es salaam kinyerezi
Kwaugum wamaisha niliopitia naninaopitia napambn mpk tone la mwishoUnaweza kupambana vizuri? Au ww ni mwepesi mwepesi
SafiKwaugum wamaisha niliopitia naninaopitia napambn mpk tone la mwisho
Inbox yangu hujaona, ama nini?Kwaugum wamaisha niliopitia naninaopitia napambn mpk tone la mwisho
Inachosha sana tu... ila hautachoka milele pambana na zidisha ibadaAmin nmechok sam
Najua kutumia computerNje ya taaluma yako ya kusomea, una credentials gani yaani una uwezo au talents zipi?!
Achana na hizi story za nitafanya chochote huu ni uongo wa karne hakunaga mtu anafanya chochote, kama unaweza fanya chochote then why upo hapa kuomba kazi na wewe si roboti.
Una ujuzi wowote wa USUSI? Yaani kusuka nywele akina mama/dada mitindo mbalimbali?Najua kutumia computer
Japan Ila najua vichach mfan mistri ya nyum na vibutu vya rast yebo nawez by sikivileUna ujuzi wowote wa USUSI? Yaani kusuka nywele akina mama/dada mitindo mbalimbali?
Kazi ya bar utaweza?
Hapa umejibu upo mawasiliano..Nafany nip mawasiliano
Unataka mshahara kiasi gani, na unaishi wapi DSM
Hapa umejibu upo Kinyerezi..Mshahar nimakubaliano Kati ya boss na mwajiriwa nipo dar es salaam kinyerezi

Naomba nikushukuru sanaHapa umejibu upo mawasiliano..Hapa umejibu upo Kinyerezi..
![]()
Binafsi naona tayari binti amejitia doa, hasa kwa wale waliokua na nia njema ya kumsaidia unless otherwise...👴Naomba nikushukuru sana