MoseKing
JF-Expert Member
- Jul 5, 2017
- 4,925
- 8,910
Kafanye ya ulinzi. Kama uko Dar nenda G4SNafany nip mawasiliano
Bar hakuna maslahi.
Kafanye ya ulinzi. Kama uko Dar nenda G4SNafany nip mawasiliano
Kasema apewe mawasiliano siyo kwamba yupo mawasiliano.Hapa umejibu upo mawasiliano..Hapa umejibu upo Kinyerezi..
Aiseeee....😲😲Kasema apewe mawasiliano siyo kwamba yupo mawasiliano.
Ni mwalimu wa Kiswahili lakini uandishi wake mbovu sana,amesema "nafany nip mawasiliano" sasa hapo unaelewa nini?Kasema apewe mawasiliano siyo kwamba yupo mawasiliano.
Babu ushimen mwandiko wa vijana huu, hapo anamaanisha apewe mawasilianoBinafsi naona tayari binti amejitia doa, hasa kwa wale waliokua na nia njema ya kumsaidia unless otherwise...👴
Dah....hii mbinu siyo mpya mkuu...lakini bado wanajichanganya tu... Hawampati mtuBinafsi naona tayari binti amejitia doa, hasa kwa wale waliokua na nia njema ya kumsaidia unless otherwise...
Sawa mjukuu....Babu ushimen mwandiko wa vijana huu, hapo anamaanisha apewe mawasiliano
Hata kama angesema yupo kinyerezi au hapo mawasiliano bado haiharibu kitu maana bado yupo daru salaam
Tafa
Mungu awasaidie sana aiseeee...🤣🤣Dah...sijui wanakwama wapi ...
Kila la kheir babu,Sawa mjukuu....
Ebu ngoja nizame PM nikafanye kitakacho wezekana...🤗🤗
Nafanya "Nipe Mawasiliano" ndicho alichomaanisha. Usipozoea text za mkato utapata tafsiri tofauti.Hapa umejibu upo mawasiliano..Hapa umejibu upo Kinyerezi..
Hizo text za mkato basi mjifunze kuziandika kwenye mambo ambayo sio ya muhimu....☹️☹️Nafanya "Nipe Mawasiliano" ndicho alichomaanisha. Usipozoea text za mkato utapata tafsiri tofauti.
Ni kweli kabisa.Hizo text za mkato basi mjifunze kuziandika kwenye mambo ambayo sio ya muhimu....
Jàman samahan kwa wote wasioelewa nilichomaanisha ...mKuu aliniuliza maswali mawil tofaut namm nikajib yote kwa pamoj Kama alivoyaambatanisha kuwa uko WAP na mshahar Sasa nmekosea nnUnataka mshahara kiasi gani, na unaishi wapi DSM
Tena ukizingatia mtu mwenyewe unakutana naye mtandaoni, risk ni kubwa sanaBinafsi naona tayari binti amejitia doa, hasa kwa wale waliokua na nia njema ya kumsaidia unless otherwise...👴
Watoto wa kishua hao wana mbwembwe ile mbayaHalafu kuna mtu anasema kazi yenye mshahara chini ya 1M hataki. maisha hayapo fea kabisa
Binafsi naona tayari binti amejitia doa, hasa kwa wale waliokua na nia njema ya kumsaidia unless otherwise...
Ebu ngoja nikubali kwamba sijaelewa, lakini naomba niulize kwamba....Wewe ndio hujaelewa, alimaanisha apewe mawasiliano sio yupo mawasiliano
Basi itakuwa ngumu kwako. Ungekuwa na ujuzi huo tungefanya kazi pamoja.Japan Ila najua vichach mfan mistri ya nyum na vibutu vya rast yebo nawez by sikivile