mlima wa mizeituni
JF-Expert Member
- Sep 7, 2019
- 1,385
- 2,454
Huyu ni msaka ajira mwenzetu, sasa ameumia sana alivyoona umechangamkiwa PM kwa wingi akahisi ke wanapendelewa kuliko me hapa jamvini. Ndiyo maana nimemwambia asijilinganishe na ke, yeye ni me akaze tu mpaka kieleweke
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu sijaelewa concern yake ni nini hasa?, why asijilinganishe na mwanamke? Nilidhani asijilinganishe na yeyote whether me or ke,awe yeye kama yeye.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app


.