Natafuta kazi yoyote halali

Natafuta kazi yoyote halali

ushauri wangu mtafute ONTARIO ofisini kwake ujifunze forex kwa wiki 1 tu upige pesa mama achana na upupu wa ajira.. milioni 1 utapiga kwa wiki 3 tu.

vinginevyo utaishia kufanywa mtumwa wa ngono

tena una elimu ya fedha, siku moja utarudi hapa jf kunishukuru
 
ushauri wangu mtafute ONTARIO ofisini kwake ujifunze forex kwa wiki 1 tu upige pesa mama achana na upupu wa ajira.. milioni 1 utapiga kwa wiki 3 tu.

vinginevyo utaishia kufanywa mtumwa wa ngono

tena una elimu ya fedha, siku moja utarudi hapa jf kunishukuru
Ahsante sana kwa ushauri ndugu ,ntaufanyia kazi lkn shida ni kwamba sidhani kama huyo Ontario anatoa mafunzo bure na kuna hela inayotakiwa kuinvest huko ambayo ni changamoto pia kuipata kwa sasa hivo Kama nikipata kazi itasaidia nipate mtaji ambao ntaweza kuinvest huko huku nikiendelea na Kazi hope inawezekana. Ila thank you for ur good advice
 
Ahsante sana kwa ushauri ndugu ,ntaufanyia kazi lkn shida ni kwamba sidhani kama huyo Ontario anatoa mafunzo bure na kuna hela inayotakiwa kuinvest huko ambayo ni changamoto pia kuipata kwa sasa hivo Kama nikipata kazi itasaidia nipate mtaji ambao ntaweza kuinvest huko huku nikiendelea na Kazi hope inawezekana. Ila thank you for ur good advice

Tatizo wabongo tunashindwa kufikia malengo kwa kujihukumu kabla ya kuhukumiwa.

1:Hujamuona ontario ushasema sijui kama anatoa mafunzo bure! umemuona?,amesemaje? leta mrejesho huo.
2:Hela inayotakiwa kuinvest ni sh ngapi? nani kakueleza hayo?..
Tujenge utaratibu wa kulaumu uzito wa maji tukiwa nani ya maji badala ya kupiga kelele tukiwa nchi kavu
 
Tatizo wabongo tunashindwa kufikia malengo kwa kujihukumu kabla ya kuhukumiwa.

1:Hujamuona ontario ushasema sijui kama anatoa mafunzo bure! umemuona?,amesemaje? leta mrejesho huo.
2:Hela inayotakiwa kuinvest ni sh ngapi? nani kakueleza hayo?..
Tujenge utaratibu wa kulaumu uzito wa maji tukiwa nani ya maji badala ya kupiga kelele tukiwa nchi kavu
OK, ahsante kwa ushauri ntaufanyia kazi
 
Ulifanikiwa?
Mimi ni Msichana umri miaka 25, Nina shahada ya kwanza ya mambo ya kibenki na huduma za kifedha( Bachelor of Commerce in Banking & Financial services) kutoka mojawapo ya vyuo vikuu hapa DSM.

Nahitaji Kazi halali either kulingana na profession yangu or yoyote inayofundishika ili niweze kuifanya kwa ufasaha na kuongeza tija kwenye taasisi,company, bank or sehemu yoyote ntayokua nafanyia Kazi hiyo.

Nina ujuzi wa kutumia Computer vzr( Ms word,Excel,Email, Internet).

Nishawahi kufanya Kazi ya kujitolea kwenye company fulani kama assistant Financial Controller kwa mwaka 1 hivyo nna ujuzi kwenye mambo ya kifedha kama kuandaa invoices,kufanya petty cash management etc.

Currently nipo Dar es salaam lkn naweza kufanya kazi sehemu yoyote na Kwa maelezo zaidi naomba tuongee PM.Ahsanteni na nawatakia siku njema.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom