Bushmamy
JF-Expert Member
- Aug 18, 2019
- 10,468
- 18,554
Ulipata Kazi kupitia humu jf mdada?
Ulipata Kazi kupitia humu jf mdada?
Mkuu kwani anabaki. nayo! Acha woga ww upate kazi fasta.Kipindi Fulani niliwahi kutafuta Nazi
nikaishia kupewa namba za whatsap nitume picha..
Mara karibu dinner mahala Fulani
ukiwa mwepesi unaishia kutumika tu.
Ukisikia kazi za sales za Nje ya Ofisi nishtue mwaya
Njoo tuanzishe microfinance and credit facility you must be having technical know how
Hongera financial services
Fanya wewe kama inakupendeza.Mkuu kwani anabaki. nayo! Acha woga ww upate kazi fasta.
Thank you dearHongera financial services