Uliwaachia CV yako?Ahsante mkuu nimeenda Pele pamejaa,,, Nia yangu nipate kazi yeyote tu Ile halali hata kufundisha pia kama shule ikipatikana Kwa physics na mathematics naweza
NdioUliwaachia CV yako?
Basi usijali, watakuita tuNdio
Amina ,, ahsante sanandugu yangu fanya yote ila hakikisha hukati Tamaa... mwenyezi Mungu akuongoze sana ndugu yangu ..
Ahsante mkuuUsikate tamaa kabisa utafanikiwa tu soon.
Tunahitaji mfanyakazi kwenye kituo cha mafinzo ya ufundi stadi-Moshi Institute of Technology:Mimi ni kijana wa kiume elimu yangu form six natafuta kazi yeyote ili niweze kuendeshea maisha napatikana mwanza
Hiyo 120K utaifanyia biashara gani?Naomba Kwa mwenye uhitaji nauza simu yangu nipate hata mtaji nianzishe ujasilia Mali ni Infinix smart 6 Ina miezi kumi Toka ninunue nauza 120k wakuu make kazi zimekuwa ngumu
Biashara ya kuchukua matenga ya nyanya kutoka shambani napeleka sokoniHiyo 120K utaifanyia biashara gani?