Manii Tena. Mm ntfuta kazi za VIWANDANI hio tenda nimekoseaMzee kweli uko siriasi na hili tangazo lako?.
Anyways Kuna tenda ya kusaplai manii za ng'ombe. Kuna kiwanda cha kutengeneza red bull za kienyeji misungwi. Inatakiwa manii za ng'ombe Lita 4 kwa siku
Kwanini watu wa Karagwe hampendi kusema nyie ni wahaya mnajiita wanyambo ??Mimi sio msukuma ni mnyambo
Wanyambo na wahaya ni tofauti mkuu elewa nipe mchongoKwanini watu wa Karagwe hampendi kusema nyie ni wahaya mnajiita wanyambo ??
Wewe ni mhaya na kazi tunakupa utake usitake sio kuficha kabila lako .
Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
Wahaya na wanyambo wana asili moja Sema enzi za machifu kulikuwa na watawala tofauti, by the way hata huku kwa wahaya bado kuna waziba, wanyaiyangilo,wayoza etc ila wote wanyambo,wahaya,wanyankole (Uganda), Watoro (Uganda) lugha ni ile ile tofauti ni kidogo sanaWanyambo na wahaya ni tofauti mkuu elewa nipe mchongo
5770.Shukrani, wanalipwaje kwa siku ?
Aamin ngoja waje kumpa mwongozo
Eti mkuu hiyo 50k ukifika unamkabidhi nani Ili mtu usidhulumiwe halafu na kakibarua ukoseNenda pale mwatex, nenda na 50,000TZS, japo vibarua vya pale, vingi ni std 7, failure...