James Kimaka
Member
- Feb 27, 2022
- 6
- 8
Habari za kazi wakuu,
Mimi ni dereva umri wangu ni miaka 25 na ni mkazi wa Dar es Salaam, ninahitaji ajira/kibarua cha kuendesha gari ya kampuni, shule, daladala au gari binafsi. Nina vyeti na leseni yenye madaraja A, A2, B, D, C1, C2, C3, E. Tafadhali share na wengine kadri uwezavyo.
Napatikana kwa namba 0743830515
Mimi ni dereva umri wangu ni miaka 25 na ni mkazi wa Dar es Salaam, ninahitaji ajira/kibarua cha kuendesha gari ya kampuni, shule, daladala au gari binafsi. Nina vyeti na leseni yenye madaraja A, A2, B, D, C1, C2, C3, E. Tafadhali share na wengine kadri uwezavyo.
Napatikana kwa namba 0743830515