Habari, Mimi ni mdada natafuta kazi ya stationery. Nina miaka 26, nina utaalamu na uzoefu mkubwa wa kazi zote za Stationery na mauzo.
Pia, nina ujuzi wa Graphic Design na nina ujuzi wa kutumia mashine ya Heat Press Sublimation kuprint mugs, chupa, na T-shirts.
Naweza kutengeneza picha mbao na picha nyingine zozote, designing na Editing ya kazi mbalimbali
Nipo Dar es salaam, namba yangu ni 0754 578 551
Pia, nina ujuzi wa Graphic Design na nina ujuzi wa kutumia mashine ya Heat Press Sublimation kuprint mugs, chupa, na T-shirts.
Naweza kutengeneza picha mbao na picha nyingine zozote, designing na Editing ya kazi mbalimbali
Nipo Dar es salaam, namba yangu ni 0754 578 551