mjumbe wa bwana
JF-Expert Member
- Sep 19, 2016
- 5,188
- 6,011
ushamaliza kila kitu au ndo alikuwa anamtafuta mtu wake humuDuh, Aisee
ushamaliza kila kitu au ndo alikuwa anamtafuta mtu wake humuDuh, Aisee
umeua mzee babaWewe utakua tapeli kwa vyovyote vile...
mmmhWewe utakua tapeli kwa vyovyote vile...
Kazi yeyote, usafi mahofisini, dukani, kweny restaurant, cafe, site,yeyte ile isipokua bar, lkn Nina fani ya ya journalism nimemaliz ngazi ya diploma nimemaliza mwaka Jana hivy nasubir cheti....nayo hiyo ikipatikana itakua vizr zaidiKazi ipi kijana kuwa specific"""
Kijana matata Wewe ni matata kwelikweli!! Safi sana kwa kuumbua hawa matapeliWewe ni tapeli sio bure!!View attachment 744901
kikao kimefungwaKijana matata Wewe ni matata kwelikweli!! Safi sana kwa kuumbua hawa matapeli
Hii inamfanyaje kuwa tapeli????Wewe ni tapeli sio bure!!View attachment 744901
Anatumia majina mawili tofautiHii inamfanyaje kuwa tapeli????
Mana sioni kosa apo
Kwanza hizo ni I'd 2 tofauti na thread 2 zenye maudhui tofauti lkn number ya simu 1. Hiyo peke yake inamfanya aonekane tapeli. Km tayari alikuwa member humu,na alishaitumia kutafuta mchumba,kuna haja gani kubadili I'd wakati wa kutafuta kazi!??Hii inamfanyaje kuwa tapeli????
Mana sioni kosa apo
Tumuulize hii namba ya nani? 0713959740Wewe ni tapeli sio bure!!View attachment 744901
Sioni kosa apoKwanza hizo ni I'd 2 tofauti na thread 2 zenye maudhui tofauti lkn number ya simu 1. Hiyo peke yake inamfanya aonekane tapeli. Km tayari alikuwa member humu,na alishaitumia kutafuta mchumba,kuna haja gani kubadili I'd wakati wa kutafuta kazi!??
Kuna watu humu nawajua wanaid 5 na zaidiAnatumia majina mawili tofauti
Rahma Mohamed anatafuta kazi
Husna Mohamedi anatafuta mme
NB:wote wanatumia namba moja ya simu
Apa umenena, ila kama ni kweliKuna siku alijifanya kua yeye ni nesi na anatafuta kazi ya criteria ya unesi, mara anakuja kusema yeye ni mwigizaji, mara yeye ni mwandishi wa habari, hapo hapo haitoshi anasema kua yeye ni mtu wa masuala ya usafirishaji!! Ndo mana nikasema kua huyu ni tapeliiiii sio bure!!