magode
JF-Expert Member
- Oct 2, 2014
- 2,201
- 3,322
Yaani na wewe unajidai unaijua jf kuliko wengine!?? Huwezi kuwa na I'd 5 na ukazitumia hapa jf. Zitaunganishwa zote na utabaki na moja. Ukiwa na I'd 5 uhakikishe na vifaa unavyotumia kuingia navyo ni vitano. Huwezi kutumia computer au simu moja kuingia na hizo I'd zako. Siku hizi kwenye hii app mpya hata I'd 2 tu zinaunganishwa km unatumia kifaa kilekile.Kuna watu humu nawajua wanaid 5 na zaidi
Nyingine huwa ni kutunza privacy endapo mtu anakujua humu