Natafuta kazi ya nursing

Natafuta kazi ya nursing

Hujaenda kwenye usahili wa Wasafi Tv?
 
Kwan dar wameshaaza
Itakua bado basi subiri wakifika ukajaribu bahati yako Mungu atakusaidia, pia watu wanapokuomba picha zako usidharau wengine wanataka kuona muonekano wako mana kuna kazi nyingine zinazingatia muonekama kama duka la vipodozi na nyinginezo
 
Itakua bado basi subiri wakifika ukajaribu bahati yako Mungu atakusaidia, pia watu wanapokuomba picha zako usidharau wengine wanataka kuona muonekano wako mana kuna kazi nyingine zinazingatia muonekama kama duka la vipodozi na nyinginezo
Ok
 
Kwani Rahma umri wako we unapungua au?
475cf7dcfc13aaca21915068b413f197.jpg

hapa ulikua na miaka 24 mwaka jana leo una miaka 22 how comes what happened ? Umeenda past time?
Huyo mwizi namfahamu halafu sio demu
 
Habari, naitwa Rahma na nina miaka 22.

Naomba msaada kwa anaeweza kunisaidia kupata kazi yeyote ya halali lakini iwe Dar es Aalaam. Nina diploma ya uwandishi wa habari.

Nikiwa nasubiri cheti changu sitaki kukaa bure kwa sababu najitegemea. Nipo serious jamani utani sihitaji

Namba yangu 0782342046, halafu kuna baadhi ya watu wana tabia sio nzuri, utakuta anakufuta PM au Whatsapp na kuaza kukwambia nitumie picha zako. Jaman hiyo tabia ife. Unajiona hauna uwezo wa kunisaidia ni bora utulie tu si kuaza kusumbuana

Angalizo tu, Sitafuti mpenzi natafuta kazi, halafu sio tangazo naloliweka ni langu wengine wananiomba niwasaidie tu lakini hili ni langu.

Ahsanteni
Ipo msaidizi wa nyumbani(dada)
Mshahara 70.000/= chakula,malazi,matibabu na huduma zingine za kijamii juu yangu.
 
Back
Top Bottom