Natafuta kazi ya nursing

Natafuta kazi ya nursing

Habari, naitwa Rahma,nina miaka 22.
Naomba msaada kwa anaeweza kunisaidia kupata kazi yeyote ya halali lkn iwe Dar es salaam, namba yangu 0782342046....lkn Nina diploma ya uwandishi wa habari. nikiwa nasubir cheti change sitaki kukaa bure kwasababu najitegemea...., ila Nipo serious jamani matani sitaki, nip dar ....halafu kuna baadhi ya watu tabia sio nzuri, utakuta ankufata pm au whsap n kuaza kukwmbia sijui nitumie picha zako .....jamn hiyo tabia ife ....unajiona hauna uwezo wa kunisaidia nibora utulie tu si kuaza kusumbuana:
Angalizo tu, Sitafuti mpenzi natafuta kazi, halafu sio tangazo naloliweka ni langu wengine wananiomba niwasaidie tu lkn hili ni langu.. Ahsanteni
Kwani Rahma umri wako we unapungua au?
475cf7dcfc13aaca21915068b413f197.jpg

hapa ulikua na miaka 24 mwaka jana leo una miaka 22 how comes what happened ? Umeenda past time?
 
Mimi nimetokea kukupenda kama hutojali naomba tuwe wapenzi pesa ninayo ya kutosha nimepiga kitabu vya kutosha ninachosubiri ni uteuzi kutoka kwa mkuu wa kaya
 
Kwani Rahma umri wako we unapungua au?
475cf7dcfc13aaca21915068b413f197.jpg

hapa ulikua na miaka 24 mwaka jana leo una miaka 22 how comes what happened ? Umeenda past time?


Mkuu we kiboko yao na umemkomesha kweli watu wanakuja na staili nyingi za kihuni mie nimeweka tangazo la kazi ila sioniwatu wakichangamkia fursa ila nashangaa Uzi wa watu wakitafuta kaz unaongezeka
 
Tuma address zako pm then uje kupata ajira huku


Kuna shamba la maharage ekar 24+ tunaanza kupambana j3 ukija ulifanya kaz kwa masaa9 una elfu6 per day


Na pia kunakupiga dawa shamba la mahind ekar200+

Kuna kaz ya kuchota maji toka mton kufika shamban

Tsh200/= kwa ndio moja..


Kuna kaz ya kupalilia Katanga unalipwa kwa msaa ukianza asubuh SAA moja mida ya saa6 mchana una elfu3, na pia ukianza saa8 mchana mpk saa12 tsh3000 total per day elfu6


Kuhusu kula juu yako but kuna maembe ma migagi kaz kibao kimbia mjini
 
Tuma address zako pm then uje kupata ajira huku


Kuna shamba la maharage ekar 24+ tunaanza kupambana j3 ukija ulifanya kaz kwa masaa9 una elfu6 per day


Na pia kunakupiga dawa shamba la mahind ekar200+

Kuna kaz ya kuchota maji toka mton kufika shamban

Tsh200/= kwa ndio moja..


Kuna kaz ya kupalilia Katanga unalipwa kwa msaa ukianza asubuh SAA moja mida ya saa6 mchana una elfu3, na pia ukianza saa8 mchana mpk saa12 tsh3000 total per day elfu6


Kuhusu kula juu yako but kuna maembe ma migagi kaz kibao kimbia mjini
Hahhaa mkuu kwa hio avatar unampa kazi gani izo unazani ataziweza wanawake wa mjini skuizi hata bustani hawawezi. Wanajua kunyonya mikunyange ttyuu
 
Salamu zikufikie mkuuu
Nazirudisha huko. Tungekua hatujifichi nyuma ya Fake IDs leo najua ningepata ofa za bia kutoka kwa wadau mbalimbali. Uzuri mmoja na mimi hupenda kujibu mapigo. Ukinunua na mimi banunua ili tuende sawa
 
Mkuu we kiboko yao na umemkomesha kweli watu wanakuja na staili nyingi za kihuni mie nimeweka tangazo la kazi ila sioniwatu wakichangamkia fursa ila nashangaa Uzi wa watu wakitafuta kaz unaongezeka
Haha mjini shule kijijini nguvu
 
Mimi nimetokea kukupenda kama hutojali naomba tuwe wapenzi pesa ninayo ya kutosha nimepiga kitabu vya kutosha ninachosubiri ni uteuzi kutoka kwa mkuu wa kaya
Hivi mkuu Mbupu zako ziko shingoni? Una kasoro gani mpaka utongoze wanaume wa mtandao ?
Mi naamini mwanaume kamili kwanza siwezi eti andika kwenye gazeti natafuta mke. Kwani mtaaani siwaoni?
 
Hahhaa mkuu kwa hio avatar unampa kazi gani izo unazani ataziweza wanawake wa mjini skuizi hata bustani hawawezi. Wanajua kunyonya mikunyange ttyuu
Ameomba kaz yeyote mkuu,alafu anakomaa ety dar tu


Kama anataka kufanyia dar tu si aende bar yeyote atapata kirahisi au aje huku ajitume HK kipind na pia kipind cha mavuno atapata kamtaji kakuuza hata nynya karanga,maandaz dagaa nk hapo mjini..


Hawa wasichana waleo wajua waache slope aisee..

Kuna wasichana wananishngaza sana unakuta kapata dume wakupita kamuonga 200k anaishia kujilemba na kujipamba na hiyo pesa ili ajiuze said fresh

Maisha yamebadilika sana na hali n ngumu bila kupambana mwenyewe wamekazana tuu na huko mjini *****

Tutakutana June,kpnd cha mavuno
 
Back
Top Bottom