Rahmamohammed
Member
- Feb 23, 2018
- 34
- 13
- Thread starter
- #21
Hiyo siiweziMkristo maana utapita kwenye training ya mafunzo ya kidiji na kujitambua.
Ila kama sio mkristo sio mbaya.Karibu
Utalala,kula na kunywa kwa boss wako
Hiyo siiweziMkristo maana utapita kwenye training ya mafunzo ya kidiji na kujitambua.
Ila kama sio mkristo sio mbaya.Karibu
Utalala,kula na kunywa kwa boss wako
Hujaijua Jf tu? Sio mgeni! Ila haimati.TOA HIYO AVATAR KWANZA INASOMEKA KUWA UNATAFUTA MPENZI ............. TABIA IFE KIVIPI WAKATI NDO KWANZA MGENI UMEINGIA HUMU IJUMAA SAA HIZI UNASEMA USHATONGOZWA MWEE
Ndugu yangu hivi hujui Tanzania ina Kiwango kikubwa cha Graduates wasiojua kuandika,kuwasiliana na Kujitambua?wewe ni mwandishi gani wa habari ? hujasoma comm skills? hujui hata kutumia polite language.
unaomba kazi alafu unaleta mihemko ?
Sio woteTatzo La Madada Ukiwasaidia Kazi Baadaye Wanakuwa Majeruhi
Sasa ww umeomba kazi yoyote ile na upo siriazi kabisa hutaki matani...kwa anaeweza kunisaidia kupata kazi yeyote ya halali ...., ila Nipo serious jamani matani sitaki
Mimi nimekutafutia moja ya kazi yoyote uliyoomba ila ulichonijibu ni...Kazi za ndani upo tayar kama ndio pm me!
Nikuungishe.
Ila tunazingatia dini sana na mafunzo utapewa...
Sasa ndugu angu kweli upo siriazi kweli?Hiyo siiwezi
AhsantSasa ww umeomba kazi yoyote ile na upo siriazi kabisa hutaki matani...
Mimi nimekutafutia moja ya kazi yoyote uliyoomba ila ulichonijibu ni...
Sasa ndugu angu kweli upo siriazi kweli?
Usibague kazi ndugu mm in litupa makaratasi nikaingia kwenye kazi ya hovyo sana ila nimeinuliwa mpaka sasa hv nasimamia biashara kadhaa za boss wangu huyu wa mwanzo nikihadithia hapa utashaangaa...
Ndio maana nimesema utapewa mafunzo ya Psychology and religion ujitambue .
Pole yako binti...
-Da'Vinci

Kwani ni lazima utoe Mawazo yako hapa au ndo bosho msiewww...half soma post uelew ndo uabdike upuuz wakoSitafuti mpenzi,natafuta kazi
Lakini avatar imekaa kutafuta mpenzi
linakuhusuUjakoseaHuo uandishi wa habari umesomea chuo gani?!lazima utakuwa mwanafunzi wa Amazon college tu
Sasa nimeelewa kwanini sheria inataka hawa waandishi wa habari angalau wawe na degree.
Dada yangu hata spelling za uandishi ambao ndio lugha mama umekosea, umeandika uwandishi, sasa ukipewa hiyo kazi uliyosomea si utakosea lugha?Habari, naitwa Rahma,nina miaka 22.
Naomba msaada kwa anaeweza kunisaidia kupata kazi yeyote ya halali lkn iwe Dar es salaam, namba yangu 0782342046....lkn Nina diploma ya uwandishi wa habari. nikiwa nasubir cheti change sitaki kukaa bure kwasababu najitegemea...., ila Nipo serious jamani matani sitaki, nip dar ....halafu kuna baadhi ya watu tabia sio nzuri, utakuta ankufata pm au whsap n kuaza kukwmbia sijui nitumie picha zako .....jamn hiyo tabia ife ....unajiona hauna uwezo wa kunisaidia nibora utulie tu si kuaza kusumbuana:
Angalizo tu, Sitafuti mpenzi natafuta kazi, halafu sio tangazo naloliweka ni langu wengine wananiomba niwasaidie tu lkn hili ni langu.. Ahsanteni
Nimependa tako hilo 😛.Hivi umeielew hiyo post wew
Nimesha pata chakula mkuu 😀Sitafuti mpenzi,natafuta kazi
Lakini avatar imekaa kutafuta mpenzi
Tutakutana mida 😎Hahahaha mi napita kwa kukimbia![]()
![]()
![]()