OllaChuga Oc
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 21,931
- 25,245
Wewe acha zarau zako za kijinga. Na injinia yako una maisha gani ya maana apa mjini?! Wenye maisha wote na pesa wana wapo hkl ..sasa endelea kuleta ujuajiSomething smells fishy here.
Nyie HKL si mnajidai kuwa ndio waendesha Vogue maisha ya kitaa mnayajua, huku sisi wa Engineering tukiwa tunapata tabu sana???
Ama unataka kusema wana HKL wenzako kina General Mangi, FRESHMAN na LINAFIKI Humble African huwa wanabwatuka tu kumbe wanaongopa. Kubabako zao!!!